DUCE Family on JF - Special Thread


kwa kuwa mi mwalimu,nishapima uelewa wako,yaan ww hata kuoa hufai nahisi ni adolecent wewe!
 
anaeiponda fani ya ualimu,si ajabu kaishia darasa la saba,xo haelewi anachosema,coz an intellectual cn never argue on such thngs,i hv doubt on that,samahani lakini.
 
heri unyimwe mali kuliko unyimwe akili.
 
kufanikiwa ktk maisha kunahtaj mamb meng si fani tu amby unayosomea unawez ukachukua hat udaktar fani inayoheshmika na weng tanz lakn ukashindwa kuyamudu kimaisha na ukuachwa na mtanganyka mwenzake tena kwa mbl sana ambaye hata daras la saba halijui.Maish mipango kijana acha ush...ambenga
 
Enzi za mwalimu Walimu walikua wanaheshimika sana.! Huwezi kukuta mtu akitoa lugha kali kwa Mwl akaachwa hivihivi!!
 
hey,first year,kuna ambaye anaenda kusoma linguistics au literature?
 

well said mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…