Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Kumbe Mzee kabisa halafu unapotosha watu kuwa kuna Baed Science? Hakuna degree ya aina hiyo hapa duniani
Hongerandio,ni mwl tayar nina diploma.
Kutoka uvunguni mwa moyo kabisaaaMmechagua BaED kutoka moyoni kabisa?
Kumbe Mzee kabisa halafu unapotosha watu kuwa kuna Baed Science? Hakuna degree ya aina hiyo hapa duniani
Nimesoma(pspa and geography) Duce na kumaliza 2010. Sina hamu na kile chuo japo kuwa kimenifanya niweze kuendana na changamoto za kimaisha. Shida ya duce nyumba tabu hosteri ziko mbali sijui kwa sasa upande wa academic duh! Jamaa wanabana ni noma ila nasikia siku hivi wamepunguza kuna Mama anaitwa VAKOLAVENE .hatari unaweza ju -disco first year.
ucjali mim nilijua mtanielewa tu, c unajua me mwalimu![/COLOR]
samahaani nimekuquote vibaya,upo sahihi naomba radhi kwa kukukosoa kumbe ilikuwa the same thing
ucjali mim nilijua mtanielewa tu, c unajua me mwalimu!
Mkuu kumbe DUCE kuna kozi nyingi? Me nilijua wanatoa BED,Bs Ed & BAED tu kama sijakosea!!
pouwa Nice studies at DUCE kama unasoma History go and Meet somebody Doctor.........simtaji najua ukifika utamjua tu
Ahahahaaa!! Umenifurahisha Dada
Asante, mimi nitasoma biology.
hapo loan unagongewa mia
Kweli kabisa. Weka mambo yako sawa tukutane pale Dada. Hao Halmashauri nenda nao polepole watakuelewa tu
Walimu siku zote tunaelekeza,kufundisha na kusaidia pia. Asante mkuu kwa majibu uliyompa kijana.
Umejuaje!!!!! ndo maana yake, I THANK GOD.