Akili hunaTakwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Cc: Laura Rashid Magulu KUMBWANIJapo filamu ya Royal Tour sio mkombozi wa utalii Tanzania ni booster kubwa ya utalii wetu kwa soko la Marekani.
P
Dada Mwenye akili Umeongea nn Sasa hapo?Akili huna
Dubai ni eneo la kitalii ambalo wawekezaji wanatoka dunia nzima kupitia masoko ya hisa waliamua kujenga vivutio vya kitalii ambavyo.vilikuwa havipo kwa pesa zao kama sehemu ya ku relax wao na familia zao kwa watu wenye pesa hasa sio malofa
Sisi tunategemea vivutio vya asili
Hebu tupe takwimu,wengi kitarakimu inaandikwaje!?enzi za rais nyerere watalii walikuwa wengi sana lakini hakukuwa na royal tour
Kwamba Dubai hawatangazi utalii,watalii wanaota tu kwamba Kuna nchi unaitwa Dubai tukatalii!!!...shule hazitusaidii aiseeTakwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Wana SIASA Safi, strategy zilizonyooka kuvutia wawekezaji na support services (airlines, hotel, attraction sites)+wahudumu Wana weledi na ukarimu. Tofauti na hawa wa wa kwetu wengi wanawaza kuiba+KUDANGA.Kwamba Dubai hawatangazi utalii,watalii wanaota tu kwamba Kuna nchi unaitwa Dubai tukatalii!!!...shule hazitusaidii aisee
Dubai yenyewe umeifahamu miaka mitatu iliyopita. Sasa utajuaje mambo ya miaka 20 ilopita?Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Dubai hakuna vurugu za kila namna kama mipango ya vichaa kama bongo.Elimu, siasa safi, uwazi kwenye uwekezaji, usalama wa wageni, uboreshaji wa miundominu ya utalii, michezo, kuepuka rushwa na UZALENDO KWA TAIFA. Ukifanikiwa kwenye hayo huna haja ya kutengeneza filamu ya Royal tour.
Mtalii akitua tu Airport anakutana na WIZI wa vitu kwenye mabegi ya wataliiDubai hakuna vurugu za kila namna kama mipango ya vichaa kama bongo.
Dubai ni mahali panapojiuza. Kuanzia mazingira, ujenzi, miundombinu, bidhaa zinazouzwa na uelewa wa watu wake.
Bongo, kila mahali hakuna kinachoonekana kuwezekana. Kila unalokutana nalo linaakisi watu waliovurugwa akili.
Baada ya hapo watalii wataota tu kwamba Kuna nchi mashariki mwa afrika Ina Serengeti,Kilimanjaro,wanadai na zenji!?Wana SIASA Safi, strategy zilizonyooka kuvutia wawekezaji na support services (airlines, hotel, attraction sites)+wahudumu Wana weledi na ukarimu. Tofauti na hawa wa wa kwetu wengi wanawaza kuiba+KUDANGA.
kipi kinaanza?Baada ya hapo watalii wataota tu kwamba Kuna nchi mashariki mwa afrika Ina Serengeti,Kilimanjaro,wanadai na zenji!?
Vyote vipokipi kinaanza?
Niice. All the best.Vyote vipo
Japo filamu ya Royal Tour sio mkombozi wa utalii Tanzania ni booster kubwa ya utalii wetu kwa soko la Marekani.
P
Swali zuri ila Dubai sio direct competitor wa Tanzania katika utalii. Dubai anashindana na Singapore, katika aina ya watalii wanaotafuta.
Ila Royal Tour wajipange baada ya mwaka watupe faida ya hii filamu kwa utalii. Waonyeshe namba.
Akili huna
Dubai ni eneo la kitalii ambalo wawekezaji wanatoka dunia nzima kupitia masoko ya hisa waliamua kujenga vivutio vya kitalii ambavyo.vilikuwa havipo kwa pesa zao kama sehemu ya ku relax wao na familia zao kwa watu wenye pesa hasa sio malofa
Sisi tunategemea vivutio vya asili
Kwanza nafurahi as days go on, hata katika pen names tunaanza kufahamiana professionals, mfano leo ndio nimejua kuwa kumbe Mkuu Ng'wanamangilingili ni mtu wa tourism sector. The Asian tourist are stingy sana, European are spenders and the American are the richest and spends like nothing, hivyo the royal tour itawafungualia Americans soko la Tanzania.Kuna kabrasha tulilitupa pale ubalozi enzi hizo kuboresha mazingira ya utalii ili kuvutia Asian markert ambayo kutokana na saving inaenda kumlevel mzungu katika utalii.
Kuna wakati Jerusalem na Israel kwa ujumla hupokea hadi millioni nne kwa MWEZI hivyo elewa kuna mazingira tofauti kila nchi.Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?