UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,515
- 7,716
Kama Ssh hawezi kuongea kiarabu, akienda kuswali huwa anafanyaje sasa?huyo wa kati ni mkalimani nahisi kuna sehemu LUGHA GONGANA
Kama Ssh hawezi kuongea kiarabu, akienda kuswali huwa anafanyaje sasa?huyo wa kati ni mkalimani nahisi kuna sehemu LUGHA GONGANA
Kwani Waislam wanatumia lugha gani mkuu?huyo wa kati ni mkalimani nahisi kuna sehemu LUGHA GONGANA
The meeting was also attended by His Highness Sheikh Ahmed bin Saeed Al Maktoum, Chairman of Dubai Civil Aviation Authority and Chairman and Chief Executive of Emirates Airline and Group; His Excellency Sheikh Nahyan bin Mubarak Al Nahyan, Minister of Tolerance and Coexistence and Commissioner-General of Expo 2020 Dubai, as well as several ministers and other senior officials
hahahhaha..da we jamaa chizi sana ...so bi mkubwa hapo anatoa oda......nimejikuta naiangalia hiyo picha kamgeuzi shingo huyo mkalimani mara mia mia huku nachekaChui jike anasema andika na jenzi zangu nyingi zimekwama. Andika shirika la ndege halisongi kuleta faida. Andika zanzibar wanaitaji uchumi wa blue
hahahhaha..da we jamaa chizi sana ...so bi mkubwa hapo anatoa oda......nimejikuta naiangalia hiyo picha kamgeuzi shingo huyo mkalimani mara mia mia huku nacheka
Wafia dini shida ujinga unawasumbua..yani imani plus ujinga ni janga kwa dunia.huyo mdada mwarabu katupia mtandio na nywele zinaonekana halafu fresh, ila kuna vikaragosi waparamia dini hapo ataficha hadi komwe eti nywele kuonekana dhambi
Uislamu sio uwarabu,huyo mdada mwarabu katupia mtandio na nywele zinaonekana halafu fresh, ila kuna vikaragosi waparamia dini hapo ataficha hadi komwe eti nywele kuonekana dhambi
Sasa walioleta dini wanavaa hivyo inakuwaje aliyeletewa ndio ajifanye anaijua zaidi?Uislamu sio uwarabu,
Uislamu ni kufuata amri za ALLAH,
Wala kuvaa huko sio uislamu ulivyoamrisha,
Bali hivyo wanavyovaa hao uliowakejeli ndio uislamu sahihi,
Anaweza kuwa mwarabu ndio lakini kafiri tu
Na huyu mmatumbi huku akawa muislamu pure kabisa