Dubai: Rais Samia akutana na Mtawala wa Dubai

The meeting was also attended by His Highness Sheikh Ahmed bin Saeed Al Maktoum, Chairman of Dubai Civil Aviation Authority and Chairman and Chief Executive of Emirates Airline and Group; His Excellency Sheikh Nahyan bin Mubarak Al Nahyan, Minister of Tolerance and Coexistence and Commissioner-General of Expo 2020 Dubai, as well as several ministers and other senior officials

Je Emirates waligusiwa kununua hisa au kufanya kazi kwa mkataba wa ubia na Air Tanzania n.k


Toka maktaba mikakati ya Emirates
18 November 2019
News Reports: HH Sh Ahmed Bin Saeed Al Maktoum - CEO and Chairman, Emirates Group


Source : Dubai 'one



Emirates is the Premier Partner and Official Airline of Expo 2020

Emirates will play a key role in bringing visitors to Expo 2020 via its extensive route network of 158 destinations in 84 countries. Emirates will also be participating at the event with its own pavilion

Source : Emirates | Premier Partner | Expo 2020 Dubai
 
Chui jike anasema andika na jenzi zangu nyingi zimekwama. Andika shirika la ndege halisongi kuleta faida. Andika zanzibar wanaitaji uchumi wa blue
hahahhaha..da we jamaa chizi sana ...so bi mkubwa hapo anatoa oda......nimejikuta naiangalia hiyo picha kamgeuzi shingo huyo mkalimani mara mia mia huku nacheka
 
Pamoja na yote hatutakubali Ngorongoro ije iwe kama ishu ya Loliondo, maana tunajua Kampuni ya Ortello Business Company(OBC) ya huko UAE ndo inaendesha Loliondo na wanataka kujitanua ktk ardhi ya wamasai huko Ngorongoro
 
huyo mdada mwarabu katupia mtandio na nywele zinaonekana halafu fresh, ila kuna vikaragosi waparamia dini hapo ataficha hadi komwe eti nywele kuonekana dhambi
 
huyo mdada mwarabu katupia mtandio na nywele zinaonekana halafu fresh, ila kuna vikaragosi waparamia dini hapo ataficha hadi komwe eti nywele kuonekana dhambi
Uislamu sio uwarabu,
Uislamu ni kufuata amri za ALLAH,
Wala kuvaa huko sio uislamu ulivyoamrisha,
Bali hivyo wanavyovaa hao uliowakejeli ndio uislamu sahihi,
Anaweza kuwa mwarabu ndio lakini kafiri tu
Na huyu mmatumbi huku akawa muislamu pure kabisa
 
Uislamu sio uwarabu,
Uislamu ni kufuata amri za ALLAH,
Wala kuvaa huko sio uislamu ulivyoamrisha,
Bali hivyo wanavyovaa hao uliowakejeli ndio uislamu sahihi,
Anaweza kuwa mwarabu ndio lakini kafiri tu
Na huyu mmatumbi huku akawa muislamu pure kabisa
Sasa walioleta dini wanavaa hivyo inakuwaje aliyeletewa ndio ajifanye anaijua zaidi?
 
Back
Top Bottom