(Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

(Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

Mkuu lengo LA mtoa mada ni kuwakumbusha waamini wa imani husika wala sio kuifananisha na imani nyingine.

Binafsi sio muumini wa imani husika ila nafurahia na kujifunza kuona wanachofanya wenzetu.

Ni kweli tupo huru, ila kufanya sala kwenye jambo Fulani hakuondoi Uhuru ni kama sala kabla ya kula.

Barikiwa
Mkuu nadhani unakumbuka jibu alilowapa Yesu wale mafarisayo walipo washitaki wanafunzi wake kwa Yesu kuwa wanakula bila kunawa mikono kwanza.....
 
Naona umezaliwa upya bibie...ila kweli lile jina bwana mmh..BTW shukrani Kwa ukumbusho! Ila ungekumbusha kujifunika shuka wakati wa kusex..kuna busara yake pia..
 
Muhammad aliisoma hiyo dua kabla ya kumwingilia kimwili mtoto Aisha wa miaka 9 ?

karibu.
 
Yesu hakuja kuitengua torati na manabii, bali alikuja kuitimiliza. Tunahukumiwa kwa matendo ya sheria, ndio maana ukitenda uovu utaingua motoni (jehanam) lakini ukitubu utahesabiwa haki.
Mkuu nadhani wakumbuka yule mfanyabiashara aliye muuliza yesu afanye nini ili apate kuurithi ufalme wa mungu....alipo muuliza wazijua amri .,akajibu ndiyo ...then akamwambia akafanyeje???

Pili: wakati wa musa waliluwa wakijitakasa dhambi kwa kutoa dhabihu za wanyama..... sasa hivi vipi ,mbona mbona hatuchinji wanyama,au kwa lugha sanifu hatutoi dhabihu kusamehewa dhambi au ili tujitakase???

[HASHTAG]#The[/HASHTAG] pastor to come.....loading..
 
Naomba uielewe thread Mkuu. Tunakumbushana kundi flan hata wewe uko huru kulikumbusha kundi lako hasa Kwenye maswala ya ndoa.
Ninakuuliza tena ya kuwa....Je unajua kuwa JF sio Masjid?

Humu kuna Wakristo, Wahindu, Wapagani na Atheists....Ni kwanini unafikiri kuna umuhimu wa wewe kutuwekea hayo hapa?

Yanatuhusu nini sisi? kwa vipi?

Kwanini hujapost katika makundi ya Waumini'n wa kiislam huko Whatsapp ama Masjid?
 
Mkuu nadhani wakumbuka yule mfanyabiashara aliye muuliza yesu afanye nini ili apate kuurithi ufalme wa mungu....alipo muuliza wazijua amri .,akajibu ndiyo ...then akamwambia akafanyeje???

Pili: wakati wa musa waliluwa wakijitakasa dhambi kwa kutoa dhabihu za wanyama..... sasa hivi vipi ,mbona mbona hatuchinji wanyama,au kwa lugha sanifu hatutoi dhabihu kusamehewa dhambi au ili tujitakase???

[HASHTAG]#The[/HASHTAG] pastor to come.....loading..
Kabla ya kula unasaligi? Kabla ya kuanza safari unasaligi?
 
Y
Kama kuna kitu huwa sipendi ni kuishi kwa masharti.
Yesu Kristo alishawaweka watu HURU, huku kwingine hata kukojoa Mwanaume ni lazima uchuchumae huku umeshika TP, ashakhum si matusi....!

Ukipiga chafya lazima useme Alhamdullilah....!

Ukipumua kwa njia ile ni lazima useme Allah Akbar na ukatafute udhu.
 
Kabla ya kula unasaligi? Kabla ya kuanza safari unasaligi?
Any way niambie wewe kabla ya kumgegeda shemeji huwa unasali???

That's why nakwambia haupo chini ya sheria ....uko huru kijana...
Ukitaka kunywa maji sali??
Ukinunua nguo kabla ya kuivaa sali??
Ukienda kuoga sali?
Ukitaka kukojoa sali?
Ukinunua chumvi dukani sali??
Ukitaka kupika sali????
Eheeeeee.....
 
Mume anapotaka kumuingilia mkewe, inampasa daima aseme:

بِسْمِ الله اللّهُـمَّ جَنِّبْنا الشَّيْـطانَ، وَجَنِّبِ الشَّـيْطانَ ما رَزَقْـتَنا

Bismillahi, Allaahuuma Jannibnaa-sh-Shaytwaan, Wa Jannibish-Shaytwaana Maa Razaqtanaa


Kwa jina la Allaah, Ee Allaah Tuepushe na Shaytwaan, na Muepushe shaytwaan na Ulichoturuzuku (yaani kizazi).


Mtume صلى الله عليه وآله وسلم amesema kuhusu hili:


((فإن قضى الله بينما ولداً؛ لم يضره الشيطان أبداً))



((Baada ya hapo Allaah سبحانه وتعالى Akijaalia, watapata mtoto ambaye Shaytwaan hatoweza kumdhuru abadan))







Nb:
Hapa sio msikitini Wala kanisan, lakini jukwaa hili linagusa mahusiano, urafiki, ndoa na kimsingi mahusiano yetu yanajengwa kwa misingi ya iman fulani. Sijakashifu imani ya mtu Niko katika kuelimisha kwa kundi nililolikusudia mods naomba wale wanaokashifu dini na kuzua matusi wapigwe ban na sio kuifungia thread kwa ajili ya watu wachache wenye kukashifu na wengi wakakosa fursa ya kujifunza.

sasa ukipiga hii dua halafu Charger ikagoma hata kubuti inakuwaje hapo au ndo dua inakuwa haijapolkelewa?
 
Back
Top Bottom