Nduhu tabu
Member
- Jul 21, 2017
- 90
- 99
ukitembea na mke wako wa ndoa kuna haja ya kuoga janaba.
Hakika wewe na mimi tutakuwa sote kwenye ufalme wa mbinguwakuongezee nitalipa
Style zote ruksa Ila 'usitanue ' ukapita rough road ni haramu na Machukizo kwa MolaUkishapiga hiyo duaaa. Usimgonge doggy style ni Dhambi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa umeoa au umeolewa basi kule kujamiiana kunawafanya wote wawili muwe katika hali ya janaba. Ikiwa mume amecheza na mkewe bila kufanya tendo, yeye pekee akashusha au wote wawili, basi katika hali hiyo, mume pekee au wote wawili watakuwa katika janaba.ukitembea na mke wako wa ndoa kuna haja ya kuoga janaba.
Kwenye suala la ngono kweli imekamilika kila idara lkn kuhusu spiritual issues ni zero kabisahpo ndio utaona hii dini imekamilika katika kila nyanja
na unapomaliza shughuli hiyo kuna kuoga janaba kwa mujibu wa sunna
sasa hapa ndio utawaona hata wale wasiomkubali
mtume hapo wanamfata
[emoji3] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hawa Jamaa vituko sana aiseeIla waislam bwana, hata ukiingia chooni unapiga duwa.
Kinora eeeh..teh teh! Mambo hayo hayana duaa buana, mzuka ukipanda unacheza mechi tu.
Hahahayaani kila sehemu kuna Dua hatari kweli, vipi kutongoza ipo duka yake??
Ndiyo ipo haja na ni lazimaukitembea na mke wako wa ndoa kuna haja ya kuoga janaba.
Ndugu yangu tusifanye hivi,,,tutumie jukwaa hili kufurahi na kuwa na umoja na urafiki.Ni vibaya kumuumiza mtu kihisia,,mimi pia huwa naongea vibaya lakini tujizuie kwa baadhi ya wakati ambao hakuna aliekutukana na kukuprovoke.Sio vizuri kuanza kumuudhi mtu.Ni vema hata nisome au usome tu coment kuliko Kusema maneno makali ya kubomoa kwa mtu innocent.Ila ile Dua'h ya Kikatoliki ndo nzuri. Maana unaongea na Mungu Wa Kweli.
Ndugu yangu tusifanye hivi,,,tutumie jukwaa hili kufurahi na kuwa na umoja na urafiki.Ni vibaya kumuumiza mtu kihisia,,mimi pia huwa naongea vibaya lakini tujizuie kwa baadhi ya wakati ambao hakuna aliekutukana na kukuprovoke.Sio vizuri kuanza kumuudhi mtu.Ni vema hata nisome au usome tu coment kuliko Kusema maneno makali ya kubomoa kwa mtu innocent.
hapa hata wewe usiemkubali mtume unafata mafundisho yake yesu hajafundisha swala la kuoga baada ya tendo la ndoa sababu mwenyewe hajapata kufanya hizo mamboKwenye suala la ngono kweli imekamilika kila idara lkn kuhusu spiritual issues ni zero kabisa