(Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

(Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

Ila ile Dua'h ya Kikatoliki ndo nzuri. Maana unaongea na Mungu Wa Kweli.
 
hpo ndio utaona hii dini imekamilika katika kila nyanja

na unapomaliza shughuli hiyo kuna kuoga janaba kwa mujibu wa sunna

sasa hapa ndio utawaona hata wale wasiomkubali
mtume hapo wanamfata
Ila waislam bwana, hata ukiingia chooni unapiga duwa.
 
Back
Top Bottom