ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,905
- 42,074
Usislam umekamilika haswaIpo Wala si uongo uislam ni dini inayogusia maisha kwa ujumla ya binadama kwa kila atakachokifanya.
Usislam umekamilika haswaIpo Wala si uongo uislam ni dini inayogusia maisha kwa ujumla ya binadama kwa kila atakachokifanya.
Shukran jazira emmyta pita huku
Yaani nikiona thread ya uislam tu najua lazima atapita na hataharibu .
Kwani hasa unasema wakati mashine ikoje? Sometime inafeli na du aa ushasoma au mkeo akabana miguu au unaisema ukiwa u.megusa pambuchi? Unamlaani shetwan asisogee ili ufaidi
Tupe dua ya kumwingilia mchepuko mkuu
Ile ni Sunna tuUmesahau pale mtu anapooa kabla hajamuingilia mke wake inabidi amswalishe kwanza.
Sawa ahsante kwa jibu maridhawa اني احب ان اسمع اسمك الاولي[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Huruhusiw zinaa ni dhambi
wewe hilo janaba lako la kike la mwezi mzima linakuathiri ubongo....maalun wa Mudy wewe...!Ww ndo unayewashwa mada imewekwa kwa ajili ya elimu ya watu flani ww na shobo zako na kuwashwa kwako unakuja kuchangia pumbapumba tu hapa. Katafute wa kukukuna huko mi sio mkunaji
Hahahaaa umenichekesha sana hapo mwishoni...huku kwetu usukumani tunasemaga "anakunya maupepo tu".Y
Yesu Kristo alishawaweka watu HURU, huku kwingine hata kukojoa Mwanaume ni lazima uchuchumae huku umeshika TP, ashakhum si matusi....!
Ukipiga chafya lazima useme Alhamdullilah....!
Ukipumua kwa njia ile ni lazima useme Allah Akbar na ukatafute udhu.
upo wew mtuKoh koh
haahaaaa mkuu siumetahadharishwa kuhusu matusiUkishapiga hiyo duaaa. Usimgonge doggy style ni Dhambi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]