(Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

(Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

Ninakuuliza tena ya kuwa....Je unajua kuwa JF sio Masjid?

Humu kuna Wakristo, Wahindu, Wapagani na Atheists....Ni kwanini unafikiri kuna umuhimu wa wewe kutuwekea hayo hapa?

Yanatuhusu nini sisi? kwa vipi?

Kwanini hujapost katika makundi ya Waumini'n wa kiislam huko Whatsapp ama Masjid?

Kwani umelazimishwa kucoment, kama kitu haki kuhusu we pitiliza tu
 
Any way niambie wewe kabla ya kumgegeda shemeji huwa unasali???

That's why nakwambia haupo chini ya sheria ....uko huru kijana...
Ukitaka kunywa maji sali??
Ukinunua nguo kabla ya kuivaa sali??
Ukienda kuoga sali?
Ukitaka kukojoa sali?
Ukinunua chumvi dukani sali??
Ukitaka kupika sali????
Eheeeeee.....
Sio muumini wa hiyo dini.
 
Acha kiherehere....haya maswali nimemuuliza mleta mada na sii wewe, acha kuwashwawashwa.
Amekuuliza swali zuri tu,mwenye chuki huficha chuki yake kwa maneno mazuri,lakina huwa ana hila moyoni mwake [ Biblia : 26 :24] Kuna uzi upo hapa MMu @wenye wanaume walokole tukutane hapa, sijaona ukienda kutoa mapovu yako kule,Kwani Jf sote ni walokole? lakini kwa kuwa ndoa nyingi hujengwa ktk misingi ya Imani,hakuna alieends kuutusi ule uzi,Tuvumiliane
 
Mungu ashukuriwe zile nyuzi zako za bwana ako anapenda kunyonya tigo naona zimekutana na nguvu ya Mungu.
Muda mwingne changamsha genge usichukulie vitu serious.
 
Amekuuliza swali zuri tu,mwenye chuki huficha chuki yake kwa maneno mazuri,lakina huwa ana hila moyoni mwake [ Biblia : 26 :24] Kuna uzi upo hapa MMu @wenye wanaume walokole tukutane hapa, sijaona ukienda kutoa mapovu yako kule,Kwani Jf sote ni walokole? lakini kwa kuwa ndoa nyingi hujengwa ktk misingi ya Imani,hakuna alieends kuutusi ule uzi,Tuvumiliane
Huyu mtu simjibugi. Anapenda mabishano yasiyo ya msingi achana NAYE
 
Nachojua mimi nipo huru sipo chini ya sheria, ninahesabiwa haki kwa neema na si kwa matendo ya sheria.....Du mpaka kwenda msalani eti dua?????
Asante Yesu kwa kunikimboa kwenye utumwa wa sheria za enzi ya Musa......# am freee guys ..nyie bakini hukohuko na sheria zenu
Barikiwa sana mtumishi yote alimaliza pale Goligotha
 
Samahani tupe sisi waislam wenzio dua ya kuzama chumvini. Weka na dua ya ushoga kwani idadi kubwa ya mashoga ni waumini wenzetu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Y

Yesu Kristo alishawaweka watu HURU, huku kwingine hata kukojoa Mwanaume ni lazima uchuchumae huku umeshika TP, ashakhum si matusi....!

Ukipiga chafya lazima useme Alhamdullilah....!

Ukipumua kwa njia ile ni lazima useme Allah Akbar na ukatafute udhu.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] Mkuu unawajulia sana hawa watoto wa bi mdogo
 
Back
Top Bottom