Kila mtu aishi atakavyoMywether nataka atandikwe aache ushamba. .mara kutembea na pesa na kupga nazo pcha mara msururu wa mabounser. ..aige wenye Pesa kina Jayz .$810 milion..P DIDY .$820 milion..yeye ata nusu ajawafkia ana $340 milion ila kila siku ni pcha kama demu na vinoti..wazungu wataendelea kutuacha tu huwez kukuta kna Bilget. .na vijana kama kna Neymar .. messi ..Ronaldo na wengne kwenye huu upuuz...wapo cool wakat pesa wanazo
Saa kuanzia saa kumi alfajiri uwe macho hadi saa kumi Na moja makonde yatakuwa yameanzaWakongwe hivi kwa saa zetu za Africa mashariki pambano hilo litakua saa ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe unaona vipi kwani??Unyama wake ni hizo saa na series ya Bugatti anazopaki?
Saa kumi na mbili asubuhiWakongwe hivi kwa saa zetu za Africa mashariki pambano hilo litakua saa ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh kumbe? Umaskini kwako ni nini?wewe unaona vipi kwani??
Jamaa anaishi dream life yako wewe utakufa maskini tu
Mc Gregory ana rungu aisee
DJ sepetu
Hahaha, 'Mr.MoneyWeather'floyd ananiboa ulimbukeni wake wa pesa,pamoja na kuniboa nataka amtandike mzungu kwa knock out kali..go ahead.call me racist.
Saa kuanzia saa kumi alfajiri uwe macho hadi saa kumi Na moja makonde yatakuwa yameanza
DJ sepetu
So
Dharau na kejeli za Myweather kwenye pesa ndizo zilipelekea au ndizo zinamsababisha Conor amtamani zaidi ulingoni huyo mchizi halafu mchizi mwenyewe katoka kwenye hustling. Sasa nadhani kila mmoja kwa wakati wake lazima ana presha juu ya hili pambano. Mimi mwenyewe nalisubiri kwa hamu sana. Ila nipo upande wa Conor
Wabongo hutawaweza. Kama hili pambano la leo hawajamchangia hata mia, sasa akisema aanze kufanya matunzi yake wanatokwa povu.wewe unaona vipi kwani??
Jamaa anaishi dream life yako wewe utakufa maskini tu
My weather ameshinda kwa knockout round ya kumi baada ya kumsukumia makonde mfululizo usoni mc Gregory aliyekuwa ameloa damu usoni kidogo adondoke ktk kamba hadi nje ya ulingo ambapo referee amebidi amuokoe kwa kusimamisha pambano