Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,422
- 21,115
- Thread starter
- #21
Mkuu, bora Floyd apigwe na mabondia wenye title zao tayari kuliko huyu ngedere Conor McGregor.anything can happen, tyson mwenyewe alipigwa.spirit ambayo ataingianayo gregory itakuwa ni hatari sababu ataandika historia ambayo iotachukua mda mrefu kuvunjwa, kutoka kwenye mchezo tofaut na ngumi na kumpiga legend wa ngumi,sifa zote ambazo anazo mayweather zitaamia kwa gregory, na itakuwa mbaya sana sababu maywether atakuwa anastafu kwa kipigo so ata akistaafu kitakumbukwa kipigo kuliko mazuri yote aliyoyafanya, na yeye analitambua hili thats why atakuwa makini sana, lakin nimeangalia mapambano yote ya mayweather kupigwa sio rahisi kabisa