DSTV wamepandisha tena

DSTV wamepandisha tena

This is too much. Hawa tatizo lao wanadhani kwamba kila nchi ni sawa na South Africa au Nigeria.
 
kuna kipindi watu wachumi walitahadharisha kuwa tusije tukashangaa kubadilisha dollar 1 kwa Tsh 3000 pale tutapofikia mwezi wa uchaguzi serikali yote iko busy na kampeni kuanzia BOT hadi sokoni kesho ukifika kazini asubuhi vikao itakao ni majadiliano ya press conference ya doctor slaa nilimuelewa sana sumaye aliposema shughuli za siasa hazipaswi kabisa kuingilia mfumo mzima wa utumishi wa serikali haya ni baadhi ya madhara tunayopata
 
Mimi pia wamenitumia msg compact imekuwa buku 84 kutoka sabini na kitu
 
Jamani sio lazima kama huwezi nenda startimes au azam, acheni wanaoweza waendeleee pata raha
 
Tatizo wabongo mnashobo sana ndo maana wanawakamua maana premium kwa south africa ni R699 x 160 = 112,000tsh sasa huku wamezidisha mara mbili ya bei watu wanakomaa tu hahaha...
 
Tatizo wabongo mnashobo sana ndo maana wanawakamua maana premium kwa south africa ni R699 x 160 = 112,000tsh sasa huku wamezidisha mara mbili ya bei watu wanakomaa tu hahaha...

Tanzania kumbuka wameweka VAT mwaka huuu....
Na pia kumbuka dollar ni 2150
Kawaida ni dollar 82 kwa Tanzania ila sababu ya VAT na hiyo Dollar ndo maana inaongezeka hadi hukooo
 
Sio lazima Kama hauna ela vigamuzi vipo vingi #dstv so much more endeleani kupandisha bei hadi ifike laki3
 
Ndugu zangu hawa wazungu wametufanya sisi wafrica ndo vibaraka wao wa kujitajirisha,
haya sasa je? kwa hali hiyo mtu wa kawaida anaweza kweli kutumia Dst
 
This is too much. Hawa tatizo lao wanadhani kwamba kila nchi ni sawa na South Africa au Nigeria.
Mi ndo nshawaaga jana walichopokea toka kwangu ndo cha mwisho. Sifanyii kazi kulipa cable mimi. Huduma kwa wateja zenyewe ni kichefuchefu. Wamenifika kooni. Mnisaidie tu nifahamu kuhusu Azam na mie nihamie huko.
 
halafu wanaringaringa na michaneli yenyewe ya hovyo tu mle, wengi walipenda DSTV sababu ya Supersport channels tu na ndio zinawapa kiburi, tukaomba waongeze na ITV wakafanya hivyo, lakini sasa kama ni habari hata Azam zipo, kama ni mpira kwingine zipo ...

DSTV saizi wezi tu, wanyonyaji wale...

kwa kifurushi cha Bomba siwezi kilipa zaidi ya 20000 kwa lipi hasa la ajabu...!! shame on you DSTV .
 
Guys hawa jamaa wananunua leseni kwa dolla..na sie twaona kila siku dola ikipanda..let's argue with facts and reasonings..kama kweli vifurushi vimepanda,they are right guys..
 
Wamenitumia sms kwamba wamepandisha. Nachotumia mimi saaa ni 84000 kiukweli nimekasirika sana. Nawaacha naingia kingamuzi kingine. Huu ni ukoloni mamboleo kabsa!
 
Back
Top Bottom