Acheni kutumia kwani lazima?
Dear DStv subscriber, due to currency depreciation, please be advised that from 1 October 2015 the subscription for DStv Bomba will be TZS 23 500 per month.
sio lazima na ndio maana tumewapiga chini
Wanatulipisha kwa dola
Tatizo wabongo mnashobo sana ndo maana wanawakamua maana premium kwa south africa ni R699 x 160 = 112,000tsh sasa huku wamezidisha mara mbili ya bei watu wanakomaa tu hahaha...
Dah kuna mijitu mimaskini na milofa mmbwa! Yaani ka laki mbili kwa mwezi kanakutoa povu hivyo!
Acheni ulofa watz pigeni kazi sio kulalama kama mwanamke ambaye ameingiziwa ukuni.