Ray model
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 207
- 184
Kipi bora kukinunuwa?
Nimechoshwa na huu uchacho wa azam tv kisimbusi chao sikitaki na nimeamua kumpa mtu bure
Nataka ninunue king'amuzi ambacho hata mvua ikinyesha siteseki hawa azam washanichosha machannel yao hayana mvuto hata kidogo na sasa hivi kutulazimisha tuangalie news kwenye app mbona mtadata na "kuvisa" mwaka huu??
Nataka ninunue aidha dstv au startimes dish decoder sasa sijajua ni kipi bora kwa ubora wa picha na picha movies maana napenda movies kuliko mpira mimi sio mpenzi wa mpira hata kidogo labda huku nchini kidogo tyu na kombe la dunia
Kulipia sio tatizo nataka nijue ni kipi bora kati ya dstv na startimes dish ktk ubora wa picha na movies??
Nimechoshwa na huu uchacho wa azam tv kisimbusi chao sikitaki na nimeamua kumpa mtu bure
Nataka ninunue king'amuzi ambacho hata mvua ikinyesha siteseki hawa azam washanichosha machannel yao hayana mvuto hata kidogo na sasa hivi kutulazimisha tuangalie news kwenye app mbona mtadata na "kuvisa" mwaka huu??
Nataka ninunue aidha dstv au startimes dish decoder sasa sijajua ni kipi bora kwa ubora wa picha na picha movies maana napenda movies kuliko mpira mimi sio mpenzi wa mpira hata kidogo labda huku nchini kidogo tyu na kombe la dunia
Kulipia sio tatizo nataka nijue ni kipi bora kati ya dstv na startimes dish ktk ubora wa picha na movies??