Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,314
- 760
Kwa wenye uelewa na wa hivi visimbusi,nina mpango wa kununua kisimbusi kimojawapo kati ya Sartimes na Dstv kile cha kawaida(bei nafuu) nimechoshwa na Mediacom, na ni ipi kifurushi kikiisha inabaki na chaneli zipi za ndani,pia bei zake ingawa wengi wapenda Azam lakini bajeti hairuhusu inauzwa ghali.