DSTV VS STARTIMES kipi bora?

DSTV VS STARTIMES kipi bora?

Dstv ni mtambo usio na mpinzani, vipindi ni vingi mno na ni super, labda ushindwe ww tyuuu na mfuko wako
 
Dstv uwa ipo vizuri kaka.mi ni fundi uwa nafunga madishi yote najua.kwa msaada nitafute kwa namba 0745076270
 
Kipi bora kukinunuwa?
Nimechoshwa na huu uchacho wa azam tv kisimbusi chao sikitaki na nimeamua kumpa mtu bure

Nataka ninunue king'amuzi ambacho hata mvua ikinyesha siteseki hawa azam washanichosha machannel yao hayana mvuto hata kidogo na sasa hivi kutulazimisha tuangalie news kwenye app mbona mtadata na "kuvisa" mwaka huu??

Nataka ninunue aidha dstv au startimes dish decoder sasa sijajua ni kipi bora kwa ubora wa picha na picha movies maana napenda movies kuliko mpira mimi sio mpenzi wa mpira hata kidogo labda huku nchini kidogo tyu na kombe la dunia

Kulipia sio tatizo nataka nijue ni kipi bora kati ya dstv na startimes dish ktk ubora wa picha na movies??
Dstv sio ya kuifananisha. Ni pesa yako tu na kifurushi utakacho. Kwenye mvua siku hizi inapiga kwikwi dk moja hivi kisha ikizoea moto chini. Kwangu nimeweka madishi matatu juu mtu akipita upande wa nyuma ya nyumba anaweza sema ni space station. Azam, startimes na dstv. Dstv is the best.
Startimes kama azam imekushinda, nayo haikufai.
 
Nimeangalia picha ya mleta uzi...nikaelewa kwann kauliza swali hili



Mungu aniepushie mbali kizazi cha namna hii
 
usijali unachokitafuta utakipata!
 
Nimeangalia picha ya mleta uzi...nikaelewa kwann kauliza swali hili



Mungu aniepushie mbali kizazi cha namna hii
Sio picha tu hata id yake..... wanaume tunakoelekea itakua bidhaa adimu.
 
Back
Top Bottom