Dstv sio ya kuifananisha. Ni pesa yako tu na kifurushi utakacho. Kwenye mvua siku hizi inapiga kwikwi dk moja hivi kisha ikizoea moto chini. Kwangu nimeweka madishi matatu juu mtu akipita upande wa nyuma ya nyumba anaweza sema ni space station. Azam, startimes na dstv. Dstv is the best.Kipi bora kukinunuwa?
Nimechoshwa na huu uchacho wa azam tv kisimbusi chao sikitaki na nimeamua kumpa mtu bure
Nataka ninunue king'amuzi ambacho hata mvua ikinyesha siteseki hawa azam washanichosha machannel yao hayana mvuto hata kidogo na sasa hivi kutulazimisha tuangalie news kwenye app mbona mtadata na "kuvisa" mwaka huu??
Nataka ninunue aidha dstv au startimes dish decoder sasa sijajua ni kipi bora kwa ubora wa picha na picha movies maana napenda movies kuliko mpira mimi sio mpenzi wa mpira hata kidogo labda huku nchini kidogo tyu na kombe la dunia
Kulipia sio tatizo nataka nijue ni kipi bora kati ya dstv na startimes dish ktk ubora wa picha na movies??
Yaani unafananisha vitu vya ajabu na dstv?
Mods kama muna huruma na member wenu mungempa tu jibu mukafuta hii nyuzi aisee
Raia hawatamuacha salama



dah kwa kweliWaliosema kuuliza si ujinga hawakuwa sahihi
Mods kama muna huruma na member wenu mungempa tu jibu mukafuta hii nyuzi aisee
Raia hawatamuacha salama

Sio picha tu hata id yake..... wanaume tunakoelekea itakua bidhaa adimu.Nimeangalia picha ya mleta uzi...nikaelewa kwann kauliza swali hili
Mungu aniepushie mbali kizazi cha namna hii