Dstv nadhani wanajidanganya wenyewe, hizo gharama za kuzalisha visimbuzi vipya ni kujidanganya, ushauri wa bure kama watapenda decoda uza 150,000/=
Epl weka 30,000/= tu
Halafu sikilizia soko ndani ya mwezi tu mitaa yote ina dishi na mapato pia yatazidi maradufu ......