kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 3,242
- 4,794
Dah hapa umewaonea Dstv kwakwelišDStv ni Kama CCM,their future as leaders is uncertain.
Dah hapa umewaonea Dstv kwakwelišDStv ni Kama CCM,their future as leaders is uncertain.
Kumbe ni mpango ndio hunaKweli Dunia uwanja wa Fujo, huku wenzangu wana TV na Ving'amuzi mimi hata TV sina wala sina mpango kabisa wa kuwa nayo.
Interest zinatofautianaKumbe ni mpango ndio huna
Basi sawaInterest zinatofautiana
Ok...anyways kwa **** mie mambo ya movie tamthilia na mengi ni kama polisi...naenjoy dstv channel za michezo.Mimi mpaka sasa sijaona decoder bora kwa huko Africa zaidi ya DSTV. na huduma zao nazipenda natumia Explorer nalipia Premium. Sijawahi sumbuliwa hata kwa dk 1. Wananijali wananipa executive service.
Khaaa, mwanangu umetupatia sana sisi tuliookota wanawake wetu kwenye vigodoro.Kama una mke ulimuokota kwenye vigodoro hawezi kuipenda DSTV
Mkuu, hata mimi sasa hivi nimeona hela ya kulipia ving'amuzi ni bora nilipie bando ya unlimited Airtel, nistream navyovitaka kwa tv. Naangalia mechi nizitakazo kwa HD, movie latest na tamthilia za kibongo kali kama DUNIA, fresh kabisa bila chenga. DSTV bei zao kali sana na vitu ni vya kitoto, Azam nao ukitoa ligi ya bongo inabaki hamna kituSasa hivi wanataka kuwarudisha wateja kwa kuja na kifurushi cha sports tu na kiwe gharama nafuu kuliko ilivyo sasa hasa kwa SA data sio ishu na TV zao nyingi ni smart wanastream na kuunga moja kwa moja kwenye TV vitu vingi wanaangalia ila kwa Nchi ambayo data ukiweka hata kabla haujatumia unapata meseji ya matumizi 75% kufika huko itachukua muda sana...