Dstv kampuni kubwa lakini ukubwa boflo

Dstv kampuni kubwa lakini ukubwa boflo

Daa we jamaa,Kwa hiyo ukitumia DStv ndio una pesa?bado una safari ndefu Sana
Hii notion ipo sana na ni ya kipuuz, et ili uonekane umepiga hatua katika maisha umiliki Dstv. Kuna kijumba hapa jirani cha tofali za tope chumba kimoja cha mshikaji hakina hata sakafu ila dish nke dstv. Vipi ni tajiri pia?
 
Hii notion ipo sana na ni ya kipuuz, et ili uonekane umepiga hatua katika maisha umiliki Dstv. Kuna kijumba hapa jirani cha tofali za tope chumba kimoja cha mshikaji hakina hata sakafu ila dish nke dstv. Vipi ni tajiri pia?
Usikute huyo mwenye hicho kijumba ana makampuni Dubai kaamua tu kurahisisha maisha yake ili vibaka msimsumbue
 
Hii notion ipo sana na ni ya kipuuz, et ili uonekane umepiga hatua katika maisha umiliki Dstv. Kuna kijumba hapa jirani cha tofali za tope chumba kimoja cha mshikaji hakina hata sakafu ila dish nke dstv. Vipi ni tajiri pia?
Watanzania vitu muhimu tu kwa matumizi ya binadamu wao wanaamini katika pesa kwa sababu kupata hivyo vitu unavuja jasho kweli kwa wenzetu TV wapo QNED sisi bado hata QLED haijasambaa na wengi tunaotumia Uhd ndio tunaisifia kweli rangi ya dstv maana TV zetu magumashi inabidi kisimbuzi kitumike kuweka clear picha..
 
Hutaki unaacha
Tatizo sio sitaki .......hapana........nimeshalipia lakini bado system yao inataka nilipe tena inipandishe kitu ambacho sikitaki maana package niliyolipia ndio chaguo langu ...........
 
Huna pesa dogo. DSTV tunatumia zaidi ya miaka 20 sasa wala hawana longo longo. Katumie AzAm DSTV tunatumia wenye pesa. Na inashangaza wana gharama za chini sana kuliko huduma nzuri wanayotupa.
Huduma nzuri wapi movie za miaka ambayo nilikuwa nabalehe bwana.
Wao kwenye boli hapo kweli uefa champions league na epl
 
Huduma nzuri wapi movie za miaka ambayo nilikuwa nabalehe bwana.
Wao kwenye boli hapo kweli uefa champions league na epl

Mimi mpaka sasa sijaona decoder bora kwa huko Africa zaidi ya DSTV. na huduma zao nazipenda natumia Explorer nalipia Premium. Sijawahi sumbuliwa hata kwa dk 1. Wananijali wananipa executive service.
 
Tatizo sio sitaki .......hapana........nimeshalipia lakini bado system yao inataka nilipe tena inipandishe kitu ambacho sikitaki maana package niliyolipia ndio chaguo langu ...........
Hamia Azam buLaza
 
Kama unaona DSTV wabovu basi hakuna king’amuzi kitakacho kufaa Bongo
 
Kama una mke ulimuokota kwenye vigodoro hawezi kuipenda DSTV
Kweli kama mke wake kamtoa Kazulamika au Matombo ni ngumu kuielewa Dstv, yete amnunulie Star times au Azam hizo ndiyo Kampuni za watu wanyonge wa Kipato na Elimu. Ila Dstv ni ya watu walio lelewa sehemu za mjini na maisha ya kati.
 
Sijaconfirm ila nasikia kifurushi cha bei ya juu kabisa cha DSTV kwa SA ni sawasawa na elfu 45 yetu.

Hapa kwetu inapita hadi 150,000 wakati Canal + kwa elfu 45 unaona kila kitu Na DSTV kwa kuihofia Canal+ ikabidi iloby Canal + asiruhusiwe kuwepo nchini.
 
Kweli Dunia uwanja wa Fujo, huku wenzangu wana TV na Ving'amuzi mimi hata TV sina wala sina mpango kabisa wa kuwa nayo.
 
Back
Top Bottom