Dstv kampuni kubwa lakini ukubwa boflo

Dstv kampuni kubwa lakini ukubwa boflo

Niaje niaje.............hivi nyie DSTV NI WATOA HUDUMA KWENYE HII TANZANIA KWELI AU MKO SA??............PESA MNAPOKEA HARAFU MNALADHIMISHA MTU APANDE KIFURUSHI ILI AGUNDUE NINI?? ILI AMUANGALIE HUYO KIM KARDIASHIAN AU NGUZU AU HIZO BONGO MOVIE ZENU..............HAKI YA NANI HII NI KAMPUNI YA WAJINGA SANA.................NIKIENDELEA TENA KUTUMIA HII KAMPUNI MKUSBSHSHSJSJGSHSHJSHHS WANGU UPITE MELI


Huna pesa dogo. DSTV tunatumia zaidi ya miaka 20 sasa wala hawana longo longo. Katumie AzAm DSTV tunatumia wenye pesa. Na inashangaza wana gharama za chini sana kuliko huduma nzuri wanayotupa.
 
Niaje niaje.............hivi nyie DSTV NI WATOA HUDUMA KWENYE HII TANZANIA KWELI AU MKO SA??............PESA MNAPOKEA HARAFU MNALADHIMISHA MTU APANDE KIFURUSHI ILI AGUNDUE NINI?? ILI AMUANGALIE HUYO KIM KARDIASHIAN AU NGUZU AU HIZO BONGO MOVIE ZENU..............HAKI YA NANI HII NI KAMPUNI YA WAJINGA SANA.................NIKIENDELEA TENA KUTUMIA HII KAMPUNI MKUSBSHSHSJSJGSHSHJSHHS WANGU UPITE MELI
ukiwa umezoea DSTV unazoea picha full HD azam unaona utopolo na HD yao ya kidwanzi
 
Niaje niaje.............hivi nyie Dstv ni watoa huduma kwenye hii tanzania kweli au mko sa? pesa mnapokea harafu mnaladhimisha mtu apande kifurushi ili agundue nini?? Ili amuangalie huyo kim kardiashian au nguzu au hizo bongo movie zenu.
Grow up idiot, kwan ukiwajibu huitaji huduma hiyo kuna shida? Sema hapana tu, hawakulazimishi
 
SA waligundua wanalipia hela nyingi kwa vipindi vya uongo ukiondoa michezo hasa kipindi cha Corona wazazi wengi walikua wanabaki home na hela nyingi yenyewe kwao ilikua rand 600 kwa mwezi sawa na Tsh 90,000 wakati makapuku Tanzania inafika laki na upuuzi huko na channel baadhi zimepunguzwa za SA na Afrika.
Wateja wengi SA wameikimbia na wanaendelea kuikimbia baada ya kugundulika kuwa wana vipindi vingi sio vizuri ila makele mengi..
 
Sasa hivi wanataka kuwarudisha wateja kwa kuja na kifurushi cha sports tu na kiwe gharama nafuu kuliko ilivyo sasa hasa kwa SA data sio ishu na TV zao nyingi ni smart wanastream na kuunga moja kwa moja kwenye TV vitu vingi wanaangalia ila kwa Nchi ambayo data ukiweka hata kabla haujatumia unapata meseji ya matumizi 75% kufika huko itachukua muda sana...
 
Back
Top Bottom