Mkuu Azam kifurushi cha nchini ni Sh. 10,000/=, kinachofuata ni 18,000 then 23,000 na mwisho kabisa ni 28,000Huyo ni star times na inategemeana na ubora wa kitu huwezi amini mkuu azam ana king'amuzi 25,000 kwa mwezi kazidi hadi DStv 19,000 kwa mwezi
Ila hao Mabepari wako cha chini kabisa ni 19,000 unaenda mpaka unaikuta 140k
DSTV bado si rafiki kwa nchi zetu hizi. Hiyo 10,000 Azam kuna Channels zaidi ya 30 na mechi za bongo unaona