DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

Mkuu huo ushamba kuwaza unavyowaza karne hii hahaha vitu vyakawaida nowadays TV za chogo hakuna tenaa unataka watu waoneshe nini sasa wanapotoa ufafanuzi unaohusisha TV?? Chogo hakuna bado unauswahili wakupepeta mchele nje afu unasema jilani Leo anatuonesha Leo anapika wali wakati hata kwa mama muuza umejaa kibao, zama zimeenda ndugu amkaaa usilala na majungu ya zamani ukaamka nayo miaka hii ya digital mkuu.
Jamaa ana inferiority . Bora umemwambia . Anawaza kizamani sana . Amethibitisha ulimbukeni wake
 
Vijana wakianzaga maisha huwa wanaona flani kama vigeni vile! sasa hiyo DStiv wenzio tuko nazo toka miaka hiyo, wewe kufunga leo tu jamii nzima inajua. Kweli Waruguru kwa kupenda sifa tu hamjambo
Huo ndio tunaita ushamba uliokomaa mkuu watu kama ninyi mnaokurupika na vimawazo duni huwa mnatabu sana hapa nani kakwambia naanza maisha?? Unauhakika naanza maisha?? Yani Uzi hauisiani kabisa na kuanza kwangu maisha almost 8yrs nilikuwa natumia visimbusi vya kawaida sasa nimebadili gia kuja dstv unahisi naanza maisha pole sana, halafu kingine kuhusu kutumia wewe dstv kwa muda mrefu haihusiani sana nakuponda uzi huu, nimeuweka kwa makusudi kuwatia moyo wenzangu wanaohofia bei za DStv nao wahamasike kuwa ni kawaida tuu. Usiwe unakurupuka navihoja vyako vya dharauuuu ujione mjanja sana kutumia dstv kwa miaka mingi sio ujanja mkuu.
 
Kwa mimi, nachomiss kutoka dstv ni epl basi. Quality iko poa.
Kila mtu huzungumzia kile kinachoujaza moyo wako furaha na hii tunaitaga its a matter of priority tuu kama umependa azam yote kheri maana umeridhia wala haina tabu pia nikizuri tu mkuu
 
Jamaa ana inferiority . Bora umemwambia . Anawaza kizamani sana . Amethibitisha ulimbukeni wake
Mkuu watu wengine waajabu sana kuna mwingine kaniambia vijana mnamatatizo mnapoanza maisha ila nimemjibu vzr tu[emoji16]
 
Wewe shidah yako siyo Dstv unataka kutonyesha kuwa umenunua flat screen ya nchii 40 si ndiyo?
 
Sorry, for interruption, ivi king'amuzi cha Digteck kina sifa zipi humu sokoni! Waliokitumia mtuelimishe.
 
King'amuzi cha Startimes nilinunua 36,000 (sijui sasa hivi ni bei gani) na ninalipia 6,000 kupata Local Channels kwa lengo la kupata habari.
Sasa jaribu kulinganisha na hicho king'amuzi unachokinadi uone tofauti.

Mwenye kisu kikali ndio mla nyama.
Endelea kuenjoy mkuu..
Kwa hiyo mkuu unataka kulinganisha FULL HD na hiyo star times yako ya mchina.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,it is damn true kuwa DSTV wapo vizuri!....Kwa kifurushi cha tsh 19,000/= kwa mwezi unapata supersport zote 14 isipokuwa supersport 1,2,3 na 5!
 
Back
Top Bottom