Inanishawishi mkuu!!Channel zaid ya 100! Super sports 4,7,8,9,10,12
Subiri waanze kukuchaji kadiri dollar inavyopanda ndo utaelewa!Hello ndugu zangu habarini za jumamosi, Jana nimefanikiwa kuvuta dstv kiukweli channel ni nyingi ktk kifurushi cha bomba na offer yao ya miezi miwili inaitwa THE PUNGUZO buree, kwa 79,000/= na ufundi 20,000/= tu ukiwapa 100,000/= sio mbaya now nainjoi sana ni full HD kwa t-shs 19,000/= kwa mwezi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimewahi kutumia star times na azam nyumbni na now nipo kwangu ntumia dstv! Honestly dstv is da best! Kwa quality ya picha, contents zao!Inanishawishi mkuu!!
Kweli mkuu unajua wengi wanapenda azam sababu ya Vodacom Premiere League ndo manaHakuna mpinzani wa Dstv. Nilihangaikaga sana kutafuta king'amuzi chenye ubora. Nilitumia startimes, nikatumia continental, sijui azam sijui ting, mara zuku
Kipindi hicho nilikua naogopa Dstv kwakua nilikua najua lazima ulipie premium.. Tangu nilipofahamu wanavifurushi kulingana na uwezo wako, sijawahi kujuta na siwezi kuhama
Hizo kwenye dstv ni free au mpaka ulipe 19,000????Hapana mkuu local channel zipo 6 ITV, CHANNEL 10, STAR TV, CLOUDS TV, TBC, TV E.
Huoni kuwa unaibiwa?na mwizi wako anashirikiana na waziri wa habari?au hujasikia serikali kupitia waziri wake ilisema LOCAL CHANNEL ni bure,wewe unalipa 6000unajisifia!!!!,haya mambo ni TZ ONLY.King'amuzi cha Startimes nilinunua 36,000 (sijui sasa hivi ni bei gani) na ninalipia 6,000 kupata Local Channels kwa lengo la kupata habari.
Sasa jaribu kulinganisha na hicho king'amuzi unachokinadi uone tofauti.
Mwenye kisu kikali ndio mla nyama.
Endelea kuenjoy mkuu..
Hauko serious, nimefunga baada ya mwezi tuu kuisha hakuna chanel ata moja ya bure,Hapana mkuu local channel zipo 6 ITV, CHANNEL 10, STAR TV, CLOUDS TV, TBC, TV E.
Ukweli mtupu, dstv isikie kwa kuhadidhiwa tuu, nunua uone kama kuna uhalisia utajuta.Azam anamtoa DSTV kwa sasa. By far