Droupouts wa vyuo tukutane hapa

Wenzako ni Mabilionea kama kina Oprah,Kanye,Mark Zuckberg,Bill gates,Stivie Job etc
 
Hivi daktari wa shahada ya kwanza anayeanza kazi analipwa sh ngapi kwa mwezi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe degree inakupa confidence .
Sasa naelewa kwanin ulisoma.Deal done.
Kwa uelewa wako kam MD ulifaulu basi kuna kiti kikubwa tu ulikalia..

Sent using Jamii Forums mobile app
Drop out na mtaani unakopa wanachuo yaani Nikajua utawaiga wakina Wizkid waliodrop nakustick kwenye mziki,na wengineo na wasiwasi ulidisko bro au?
 
Unajua watu wanazngua sana life is a matter of choices and Life is too short kufanya competition hamtoweza maliza wengine tunasoma kwa passion ya kitu tunachokipenda na vile vile wengine tunafanya biashara ya kitu tunachopenda.

Sio kila anae drop out anaweza kufanikiwa na sio kila anaesoma anaweza kufanikiwa ila sasa kufanikiwa hapa sio ni kuwa billionaire No! Ila ni kuendeleza maisha kwa rizki ya kila siku.

Na pia sio lazma wote tuwe matajiri cha muhim ni kuwa na familia angalau uweze kukidhi mahitaji ya familia uwe na kamji kako ata kama ni 2rooms upate pesa ya msosi matumizi na kujikimu uzeeni thats all..

Hayo ya kusema umesoma huna ajira mara unefungua biashara imekufa ni life challenges wakati wako wa kubarikiwa ukifika uwe umesoma au hujasoma ur blessed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibongo bongo dropout wengi ndio hawa wauza mitumba,boda boda waburn cd,wapiga windo.
Kama unabisha angalia siku za weekenď ambapo wasomi wengi hawaendi kazini,hata magari huwa machache barabarani
Ujinga ni nini?
Ujinga ni mtu anajisifu amedrop shule,ili atafute pesa za kumfanya mwanae asome shule kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa iyo Bottom line ujinga kivipi, maana navyojua ndio maisha tunayoyataka wengi.

Portfolio | 2020
 
Nisome kwa ajili gani? Yaani nifanye kitu ambacho nmegundua hakina tija ili wewe uridhike??

Karibu mkopo sasa riba imepungua hadi 20%/month>> pia unaweza kopa adi million 10 kama una vigezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua ww ni mshikaj fulan hivi baada ya kupata vihela vya urithi unaleta dharau ,watu wa aina yako hawawez fika mbali .sasa nakushaur pia watoto wako usiwapeleke shule.maana huelew hata hao dropouts matajir wanasomesha watoto wao mpaka vyuo kwann wasiwaaache tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shule muhimu sana ila degree ni muhimu tu kama huna alternative zingine...keep Babylon system alive. Ukibadili mawazo welcome to 1% club tukupe mawazo huru.

Sent using Jamii Forums mobile app

Narudia kusema hivi, shule muhimu. Msijifananishe na watu walio drop-out vyuo kama Harvard na wenzangu na mie kajambanani wa dodoma university,..
So wewe unajiona una win sana kukopesha kwa riba ya asilimia 30 ujiite una mawazo huru? Dumbest shi.. ever! Ndo yale yale mtu unamwona kama ana akili timamu, akifungua mdomo kuongea unamshusha thamani zote, school is knowledge. Knowledge goes hand in hand na growth na kila kitu kingine, so far unaongea kweli kama dropout ni kupoteza muda kubishana nawe.
Siku njema.
 
Its like unaamini kabisa ukidrop out unakua umekata tiket ya kupata pesa
, pole sana kaka.
Na uache kupotosha watu. Shule ni nzuri kwa muda wake na utafutaji una muda wake pia.
Wew sema ulidisco, au ulikua ada (eithe ulibet ikaliwa au ilitafunwa na forex)
Uache kudanganya watu et ukidrop out unakua na pesa.
Sasa ulikua 2nd yr, si ungemalizia uo mwaka mmoja tu!
Hela haipatikani kwa haraka ivo. Unaweza kudrop out na bdo ukasubiri hadi mika saba au kumi ijayo ndo ukaanza kupata uchumi wa kueleweka, au ukakosa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema wew tu ndo akili yko iliishia hapo, na ni bora uliacha kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anaejiita dropout (mtoa maada), kwa anadai anakopesha hadi milioni 10 ( kama unavigezo )
Swali, je huo mtaji kautoa wapi??
Kwa hali ya uchumi wetu tz tuanaujua. Mtu mwenye capacity ya kukopesha 10M sio wa kawaida.
Kwahyo uyu jamaa asidanganye tena watu wadrop out kma vile mtaani kuna fursa njenje za utajiri.

Ushauri wangu.
Kama umepata nafas ya kusoma jitahdi umalize. Ishu sio kua na cheti. Ishu ni kua na FANI (vyeti ni kwaajili ya utambulisho juu ya fani uliyonyo), ambayo kwa msomi mtanzania, kutoka familia maskini ndo mtaji wa kuanza nao.

Mbali na fani uliyonayo, ukiingia mtaani unaweza pia kupambana katk fursa zngne kma vile biashara, kilimo, udalali etc & a mixture of hustlings., Wakat huo uko na fani yako pia ipo. Hapo unakua unapambana wakat huohuo ikitokea fursa inayoendana na fani yko unaweza kuingia, iwe ni ajira au umepata mtaji unatka kujiajir kufnya ishua inayoendana na fani yko.

Mwisho wa siku mkono unaenda kinywani. Na ukipambana kwa kujituma, bila kua na tamaa, huyu mungu ni wa kwetu sote. 3 to 4 yrs lazima utakua mbali.

Tuache kupotoshana. Life is not that much easier (Except kwa wachache sana).



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnashida gani na watu walio drop out, kwanini mna hasira sana? Hizo hasira mngeelekeza kutunza mishahara yenu( kwa waliopata ajira na nyie ambao mna vyeti vya confidence lakin amjapata ajira) na kuanzisha side hustle (biashara, au mradi endelevu) mngemake sense. Ila kuja kutoa povu hapa kisa mmejiloga huko kwenye Babylon System haisaidiii ...


Binafsi hela ninayopata kwenye mishe zangu pia hailali nakopesha na nawekeza. Jambo ambalo nyie wenye vyeti hamufanyi nahamna wazo hilo, mnachojua ni kuibia muda wa kazini hamfanyi kazi mnakuja kutoa povu huku..

Badilikeni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu hawana hasira na dropouts, wana hasira na wewe(mtoa mada) ambaye umedrop ila kichwa kiko tupu hujui nini unafanya..unatakiwa urudi shule kwa hali ninayoiona kwako ili uondoe ujinga na upumbavu ndo uje mtaani kuendelea na maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…