wanalo leo......
Shiiiii.......... subiri watoto walale.Nikutake mara mbili???!!!!Unanchekesha!!!!
Hebu fafanua kwanza kukutakaje?!!
Shiiiii.......... subiri watoto walale.
Afu inakuwaje kila post yako lazima Mwita Maranya ai-LIKE?:becky::becky:
Sasa hata akiwa ni mvaaji safi na mpangiliaji mzuri wa viwalo,kama hakupigi mshine fresh ni bure tuh,,
mwanaume hasifiwi kuvaa,mwanaume anasifiwa kuweka pesa bank,kuhonga na kum--kaza fresh mwanamke
Na wale wasiovaa saa kabisa!! Eti zee zima anaangalia saa kwa kutumia simu!! Kudadeki!! Yaani wewe ni kichwa cha nyumba utaongozaje!!!?? Kweli nikiona kijana kaingia ofisini kwangu au say mwanaume wa age yangu nikicheck mkono hana saa basi najua ni bogasi tu hata nikimpa kazi hawezi kuwa time keeper!! Tupa kando!
Hii ni nchi huru kabisa haina,
Kila mtu anafanya anachofikiri kitampa furaha,
Hatufanyi vitu qa ajili ya wengine bali wenyewe.
Tunaipa roho kitu inapenda.Wacha watu wafurahiye maisha yao Bana.
Bazazi!
Umefunguka vizuri sana na nimeipenda hii, from miles nimegundua uko after smart guys and decent one. big up karucee binafsi nachukia dressing zinazovuta attention za watu hasa walio mbali, huwezi vaa nguo za rangi rangi kali hasa mchana, napenda watu simple but smart.