Dreamliner ya ATC yaleta Neema Tanzania

Dreamliner ya ATC yaleta Neema Tanzania

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,229
Reaction score
39,715
Ndege ya ATC Boeing 787 Dreamliner imeleta Neema za kiuchumi kwa wananchi kwani sasa ni rahisi na nafuu kusafiri nchini tofaut na mwanzo tulipokuwa na mashirika ya kinyonyaji (kibepari). Asante Mwenyekiti.

1. Unafuu wa Nauli. Kulinganisha na PW/FN. Pesa nyingine mtu unafanyia shughuli mbadala.
2. Huduma safi.
3. Biashara nyemelezi (restaurants na taxi) zimeimarika zaidi.
4. Tumezalisha ajira zaidi kwa Watanzania wenzetu (Pilots, Engineers, air hostesses, agents).
 
Naamini kuna nchi wanatushangaa sana ni hii dreamliner yetu, yani tunavyoiongelea ni kama magufuli amefanya miujiza fulani hivi hapa duniani ambayo haijawahi kufanywa na mtu yoyote yule, nahisi kuna watu wameajiliwa ili waiongelee kila siku.

kuna nchi wanamiliki hayo madude zaidi ya 10 tena walichelewa kupata uhuru kuliko sisi ila wametulia tu, ila sisi haka kamoja tu mh jiwe anahisi kama vile ameibeba dunia kichwani kwake, HUU NI UJINGA WA KIWANGO CHA JUU MNO.
 
Ndege ya ATC Boeing 787 Dreamliner imeleta Neema za kiuchumi kwa wananchi kwani sasa ni rahisi na nafuu kusafiri nchini tofaut na mwanzo tulipokuwa na mashirika ya kinyonyaji (kibepari). Asante Mwenyekiti.
1. Unafuu wa Nauli. Kulinganisha na PW/FN. Pesa nyingine mtu unafanyia shughuli mbadala.
2. Huduma safi.
3. Biashara nyemelezi (restaurants na taxi) zimeimarika zaidi.
4. Tumezalisha ajira zaidi kwa Watanzania wenzetu (Pilots, Engineers, air hostesses, agents).

Mengine sawa lakini LA nafuu ya nauli so kweli, maana baada ya ticket za promotion kuisha nauli iko juu kuliko FN. Ni majuzi ilinibidi kukata FN kwenda Mwz na kurudi maana ilikuwa nafuu kuliko ATCL
 
Naamini kuna nchi wanatushangaa sana ni hii dreamliner yetu, yani tunavyoiongelea ni kama magufuli amefanya miujiza fulani hivi hapa duniani ambayo haijawahi kufanywa na mtu yoyote yule, nahisi kuna watu wameajiliwa ili waiongelee kila siku.

kuna nchi wanamiliki hayo madude zaidi ya 10 tena walichelewa kupata uhuru kuliko sisi ila wametulia tu, ila sisi haka kamoja tu mh jiwe anahisi kama vile ameibeba dunia kichwani kwake, HUU NI UJINGA WA KIWANGO CHA JUU MNO.
Furahi na wafurahio
 
Naamini kuna nchi wanatushangaa sana ni hii dreamliner yetu, yani tunavyoiongelea ni kama magufuli amefanya miujiza fulani hivi hapa duniani ambayo haijawahi kufanywa na mtu yoyote yule, nahisi kuna watu wameajiliwa ili waiongelee kila siku.

kuna nchi wanamiliki hayo madude zaidi ya 10 tena walichelewa kupata uhuru kuliko sisi ila wametulia tu, ila sisi haka kamoja tu mh jiwe anahisi kama vile ameibeba dunia kichwani kwake, HUU NI UJINGA WA KIWANGO CHA JUU MNO.
Hata mimi huku ughaibuni niliko waliniulizia kuhusu wale waliokuwa wakishangaa marekebisho ya ndege mitandaoni!
 
Ndege ya ATC Boeing 787 Dreamliner imeleta Neema za kiuchumi kwa wananchi kwani sasa ni rahisi na nafuu kusafiri nchini tofaut na mwanzo tulipokuwa na mashirika ya kinyonyaji (kibepari). Asante Mwenyekiti.
1. Unafuu wa Nauli. Kulinganisha na PW/FN. Pesa nyingine mtu unafanyia shughuli mbadala.
2. Huduma safi.
3. Biashara nyemelezi (restaurants na taxi) zimeimarika zaidi.
4. Tumezalisha ajira zaidi kwa Watanzania wenzetu (Pilots, Engineers, air hostesses, agents).


Usiseme kwa nguvu Zitto na wengine watasikia na kukasirika then wakuteke.
 
Naamini kuna nchi wanatushangaa sana ni hii dreamliner yetu, yani tunavyoiongelea ni kama magufuli amefanya miujiza fulani hivi hapa duniani ambayo haijawahi kufanywa na mtu yoyote yule, nahisi kuna watu wameajiliwa ili waiongelee kila siku.

kuna nchi wanamiliki hayo madude zaidi ya 10 tena walichelewa kupata uhuru kuliko sisi ila wametulia tu, ila sisi haka kamoja tu mh jiwe anahisi kama vile ameibeba dunia kichwani kwake, HUU NI UJINGA WA KIWANGO CHA JUU MNO.
Hakuna kitu kibaya maishani kama kuwa mjinga halafu ukajiona mwerevu mbele ya wajinga wenzio.
Wapuuzi kama wewe huwa nawaambia ya kwamba HATA KAMA JIRANI YAKO ANA WATOTO KUMI au ZAIDI, HAIKUNYIMI WEWE na WANAOKUTAKIA MEMA NAFASI YA KUFURAHIA UJIO WA MTOTO WAKO WA KWANZA.
Kama una akili zinazokutosha kiasi utaelewa huo msemo una maana gani.
Ila kama unatumia Wi-Fi ya Ufipa endelea na kibarua chako kamanda.
 
Ndege ya ATC Boeing 787 Dreamliner imeleta Neema za kiuchumi kwa wananchi kwani sasa ni rahisi na nafuu kusafiri nchini tofaut na mwanzo tulipokuwa na mashirika ya kinyonyaji (kibepari). Asante Mwenyekiti.
1. Unafuu wa Nauli. Kulinganisha na PW/FN. Pesa nyingine mtu unafanyia shughuli mbadala.
2. Huduma safi.
3. Biashara nyemelezi (restaurants na taxi) zimeimarika zaidi.
4. Tumezalisha ajira zaidi kwa Watanzania wenzetu (Pilots, Engineers, air hostesses, agents).

Currently PW is the most expensive, and is fully booked.

Kinachompandisha mtu ndege ni time table flexibility(pw cutter for most convenient times to fly). huduma n.k so ATC bado sana kibiashara
 
Ndege ya ATC Boeing 787 Dreamliner imeleta Neema za kiuchumi kwa wananchi kwani sasa ni rahisi na nafuu kusafiri nchini tofaut na mwanzo tulipokuwa na mashirika ya kinyonyaji (kibepari). Asante Mwenyekiti.
1. Unafuu wa Nauli. Kulinganisha na PW/FN. Pesa nyingine mtu unafanyia shughuli mbadala.
2. Huduma safi.
3. Biashara nyemelezi (restaurants na taxi) zimeimarika zaidi.
4. Tumezalisha ajira zaidi kwa Watanzania wenzetu (Pilots, Engineers, air hostesses, agents).
.
tapatalk_1534039611985.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom