kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,004
- 9,096
Sidhani kama inasehemu ya mzigo kubwa kubeba shehena kubwa usituhadae mkuuIkibeba majeneza ya wafu, maua toka Kilimanjaro sio cargo plane. Ikibeba container za nyama ya mbuzi inakuwa cargo plane!!!. Mpaka leo kuna wadanganyika hawajui ndege ya abiria ina tumbo kubwa la kupakia mzigo.