DRC: Wakristu zaidi ya 40 wauawa na ADF

DRC: Wakristu zaidi ya 40 wauawa na ADF

Sio rahisi kusikia waumini wa imani zingine wakiingia msikitini na kuua watu kinyama namna hiyo.

Kama huu unaoitwa dini ingekuwa ni dini kwelikweli badala ya utamaduni tu wa kiarabu wasingekuwa wanayafanya haya wanayoyafanya leo.
Wafadhili wa hao magaidi ni USA
 
persecution of Christians is real …

Zaidi ya watu 40 wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi tanzu la Dola la Kiislamu (Islamic State) kaskazini-mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa na jeshi la nchi hiyo.

Wengi wa waliouawa walikuwa waumini waliokuwa wakishiriki ibada ya mkesha wa usiku katika kanisa lililoko mjini Komanda walipovamiwa na wapiganaji wa Allied Democratic Forces (ADF). Taarifa ya ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa (Monusco) ilisema kuwa watoto tisa walikuwa miongoni mwa waliouawa.

Maduka na biashara za jirani pia ziliibwa na kuchomwa moto.

ADF ilianzishwa nchini Uganda miaka ya 1990, ikidai kuwa serikali ya nchi hiyo ilikuwa inawabagua Waislamu, lakini kwa sasa kundi hilo linafanya shughuli zake upande wa pili wa mpaka nchini DRC, ambako limekuwa likiwalenga raia wa dini zote pamoja na kufanya mashambulio nchini Uganda.

Tangu wakati huo, ADF imekuwa sehemu ya tawi la Dola la Kiislamu katika Ukanda wa Afrika ya Kati, ambalo pia linajumuisha kundi lingine nchini Msumbiji.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na BBC Monitoring, karibu asilimia 90 ya operesheni za Dola la Kiislamu kwa sasa zinafanywa na matawi yake yaliyo Afrika.

Shambulio hilo lilikatili maisha ya watu wasiopungua 43, wakiwemo wanawake 19, wanaume 15 na watoto tisa, kwa mujibu wa Monusco.

"Matendo haya ya mashambulizi ya kulenga raia wasio na ulinzi, hasa katika maeneo ya ibada, siyo tu ya kusikitisha bali pia ni ukiukwaji wa viwango vyote vya haki za binadamu na sheria ya kimataifa ya kibinadamu," alisema naibu mkuu wa Monusco, Vivian van de Perre.

Jeshi la DRC limesema "takriban watu 40 walishambuliwa kwa ghafla na kuuawa kwa mapanga, na wengine kadhaa walijeruhiwa vibaya".

Lilisema kuwa "magaidi hawa wameamua kulipiza kisasi dhidi ya wananchi wasio na hatia ili kueneza hofu".

Luteni Jules Ngongo, msemaji wa jeshi la Congo katika jimbo la Ituri ambako shambulio hilo lilitokea, alisema shambulio hilo lililenga kupotosha umakini wa operesheni ya pamoja ya kijeshi inayofanywa na jeshi la Uganda dhidi ya kundi hilo la waasi.

Alisema jeshi litaendelea kulifuatilia kundi la ADF "hadi kwenye ngome yao ya mwisho" na kuwataka wananchi "kuwa waangalifu zaidi na kutoa taarifa kuhusu uwepo wowote wa watu wanaotia shaka kwa vyombo vya ulinzi na usalama".

Mnamo mwaka 2021, DRC iliwaalika wanajeshi wa Uganda kuingia nchini humo kusaidia katika kupambana na ADF. Hata hivyo, mashambulio bado yanaendelea.

Komanda iko katika jimbo la Ituri lenye utajiri wa madini, ambalo limekuwa likigombaniwa na makundi mbalimbali ya waasi kwa miaka mingi.

Wiki iliyopita, Monusco ililaani "kuzuka kwa wimbi jipya la ghasia" mwezi huu, ikitaja mashambulio ya awali ya ADF ya tarehe 8 na 9 Julai ambayo yaliripotiwa kusababisha vifo vya watu 47.
View attachment 3421468

Kanisa likiteketezwa kwa moto huko Kongo …
M23 Sasa wamegeuka kuwa Islamic state?

Hakuna namna Ili Wazungu waendelee kuiba madini lazima waidanganye misukule Yao ya kikristo
 
Write your reply...wazungu wanaanzisha jambo jingine la uchonganishi mradi tu DRC isitulie kwa migogoro mibaya
Acha kuwawaza wazung kweny useng wenu , badala ya ukemee huo ushetan , wew una uhalalisha kwa kuwapa lawama wazungu

Kwamba nyiny ni makatuni hamna akil ya kujua kuua ni dhambi?
 
M23 Sasa wamegeuka kuwa Islamic state?

Hakuna namna Ili Wazungu waendelee kuiba madini lazima waidanganye misukule Yao ya kikristo
Anaeua ni mzungu au mwafrika ? Je unaunga mkono hayo mauji? Kwan hao wanaoua wenzao hawana akil mpk lawana tuwape wazungu ?

Mzungu akikupa silaha ww ukaitumia kuua ndugu zako , je tumlaum mzungu au wew uliyeua ?
 
Hayo ni makundi yanayofadhiliwa na USA ili kuzitisa sehemu zenye rasilimali Africa
Anaeshika bunduki hajui kama anakosea kuua waafrika wenzie? Hata USA asingesaidia kwavilr akil zenu zishacorrupt bas mngetumia njia nyingine kuua waafrika wenzenu
 
Anaeshika bunduki hajui kama anakosea kuua waafrika wenzie? Hata USA asingesaidia kwavilr akil zenu zishacorrupt bas mngetumia njia nyingine kuua waafrika wenzenu
Si pesa mkuu hata wewe ukiambia unalipwa dollars elfu 40 kwa wiki kazi yako kuua tu unaweza usiiache hiyo kazi
 
persecution of Christians is real …

Zaidi ya watu 40 wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi tanzu la Dola la Kiislamu (Islamic State) kaskazini-mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa na jeshi la nchi hiyo.

Wengi wa waliouawa walikuwa waumini waliokuwa wakishiriki ibada ya mkesha wa usiku katika kanisa lililoko mjini Komanda walipovamiwa na wapiganaji wa Allied Democratic Forces (ADF). Taarifa ya ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa (Monusco) ilisema kuwa watoto tisa walikuwa miongoni mwa waliouawa.

Maduka na biashara za jirani pia ziliibwa na kuchomwa moto.

ADF ilianzishwa nchini Uganda miaka ya 1990, ikidai kuwa serikali ya nchi hiyo ilikuwa inawabagua Waislamu, lakini kwa sasa kundi hilo linafanya shughuli zake upande wa pili wa mpaka nchini DRC, ambako limekuwa likiwalenga raia wa dini zote pamoja na kufanya mashambulio nchini Uganda.

Tangu wakati huo, ADF imekuwa sehemu ya tawi la Dola la Kiislamu katika Ukanda wa Afrika ya Kati, ambalo pia linajumuisha kundi lingine nchini Msumbiji.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na BBC Monitoring, karibu asilimia 90 ya operesheni za Dola la Kiislamu kwa sasa zinafanywa na matawi yake yaliyo Afrika.

Shambulio hilo lilikatili maisha ya watu wasiopungua 43, wakiwemo wanawake 19, wanaume 15 na watoto tisa, kwa mujibu wa Monusco.

"Matendo haya ya mashambulizi ya kulenga raia wasio na ulinzi, hasa katika maeneo ya ibada, siyo tu ya kusikitisha bali pia ni ukiukwaji wa viwango vyote vya haki za binadamu na sheria ya kimataifa ya kibinadamu," alisema naibu mkuu wa Monusco, Vivian van de Perre.

Jeshi la DRC limesema "takriban watu 40 walishambuliwa kwa ghafla na kuuawa kwa mapanga, na wengine kadhaa walijeruhiwa vibaya".

Lilisema kuwa "magaidi hawa wameamua kulipiza kisasi dhidi ya wananchi wasio na hatia ili kueneza hofu".

Luteni Jules Ngongo, msemaji wa jeshi la Congo katika jimbo la Ituri ambako shambulio hilo lilitokea, alisema shambulio hilo lililenga kupotosha umakini wa operesheni ya pamoja ya kijeshi inayofanywa na jeshi la Uganda dhidi ya kundi hilo la waasi.

Alisema jeshi litaendelea kulifuatilia kundi la ADF "hadi kwenye ngome yao ya mwisho" na kuwataka wananchi "kuwa waangalifu zaidi na kutoa taarifa kuhusu uwepo wowote wa watu wanaotia shaka kwa vyombo vya ulinzi na usalama".

Mnamo mwaka 2021, DRC iliwaalika wanajeshi wa Uganda kuingia nchini humo kusaidia katika kupambana na ADF. Hata hivyo, mashambulio bado yanaendelea.

Komanda iko katika jimbo la Ituri lenye utajiri wa madini, ambalo limekuwa likigombaniwa na makundi mbalimbali ya waasi kwa miaka mingi.

Wiki iliyopita, Monusco ililaani "kuzuka kwa wimbi jipya la ghasia" mwezi huu, ikitaja mashambulio ya awali ya ADF ya tarehe 8 na 9 Julai ambayo yaliripotiwa kusababisha vifo vya watu 47.
View attachment 3421468

Kanisa likiteketezwa kwa moto huko Kongo …
Wakrist hawaeleweki, Josephy Kibweetere aliwachoma moto Kondoo wake kule Uganda wote wakafa, wakrist walivo wanafiki hakuna aliyelani kile kitendo na badala yake walimsifu mchungaji Kibweetere kwa kuwapeleka Kondoo Mbinguni mapema kukutana na bikira maria mwana wa Mungu (Yesu).
 
Wafadhili wa hao magaidi ni USA
Halafu wahanga wakuu wa ugaidi tena wawe ni haohao wamarekani huo ni uongo kabisa kwani haiwezekani wafadhili wawe Marekani (makafiri) halafu magaidi wawe waislamu, hilo haliwezekani kabisa.

Ugaidi ni mpango wa muda mrefu uliyofeli wa waislam kujaribu kuisilimisha dunia. That's all.
 
Halafu wahanga wakuu wa ugaidi tena wawe ni haohao wamarekani huo ni uongo kabisa kwani haiwezekani wafadhili wawe Marekani (makafiri) halafu magaidi wawe waislamu, hilo haliwezekani kabisa.

Ugaidi ni mpango wa muda mrefu uliyofeli wa waislam kujaribu kuisilimisha dunia. That's all.
Marekani ndo mfadhili wa vikosi vya ugaidi uarabuni huku ufaransa ikifadhili west Africa ndo maana ISIS hajawahi shambulia Israel wala kambi za jeshi USA na marekani hajawahi kuwa mhanga mkuu wa ugaidi
 
MAKAFIRI wamejaa kwenye mfumo wa propaganda za Western, ukitaka kumuua mbwa fanya umpe jina baya na ndivyo picha mbaya inatengenezwa juu ya Waislamu
 
Anaeua ni mzungu au mwafrika ? Je unaunga mkono hayo mauji? Kwan hao wanaoua wenzao hawana akil mpk lawana tuwape wazungu ?

Mzungu akikupa silaha ww ukaitumia kuua ndugu zako , je tumlaum mzungu au wew uliyeua ?
Trump mbona alishasema waafrika na warabu ni wajinga ukiwapa siraha wanauana wenyewe Kwa wenyewe

Na kibaya zaidi mnauana wenyewe Kwa wenyewe Ili muwape Wazungu nafasi ya kuchota rasilimali zenu

Na hao Wazungu wakiisha andaa hivyo vikundi lazima wavipe jina la kiislam Ili kuzidi kuwazuga wajinga

Hapa Sasa tayari Kuna mijinga ya Kiafrika itakubali kuwa wale waasi wa Kongo ni kikundi cha kiislam

Ila Kwa sisi wenye akili tunajua kabisa hiyo ni michezo ya Ufaransa na Marekani Ili waendelee kuiba madini ya Kongo

Ile Mbinu Yao ya kuiba madini Kwa kutumia M23 wameona imeanza kufeli ndio wamebuni hiyo Mbinu mpya kuwa waasi ni Islamic state

Na huo ndio mwanzo muda si mrefu utasikia kikundi cha Islamic state Cha Kongo kimeteka eneo lenye madini mengi

Wagalatia wajinga sana Islamic state na Kongo wapi na wapi
Hiyo dini yenyewe katika misikiti ya Kongo waalimu ni watanzania
 
Back
Top Bottom