mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
CAF hufanya draw ya makundi kwa kuzigawa timu kwenye pots/vyungu 4 kwa kigezo cha ubora wao.
Pot no. 1: Al Ahly, Wydad WC,Esperance, na Mamelodi Sundowns.
Pot no 2: Simba, CR Belouizdad, Pyramids na Petro de Luanda.
Pot no.3: TP Mazembe, Al Hilal, ASEC Mimosa, na Yanga.
Pot no. 4: Etuile du Sahel, Jwaneng Galaxy, Nouadhibou na Medeama.
Kila kundi litakuwa na timu moja kutoka kila pot. Timu kwenye pot moja haziwezi kuwa kwenye kundi moja, bali timu kwenye pot tofauti zinaweza kuwa kundi moja. Kwa hiyo kuna uwezekano wa Simba na Yanga kuwa kwenye kundi moja!!
SWALI: Je mashabiki wa simba na Yanga wangefurahi kuwa kwenye kundi moja? Karibuni mtoe mawazo yenu hapa!!
Pot no. 1: Al Ahly, Wydad WC,Esperance, na Mamelodi Sundowns.
Pot no 2: Simba, CR Belouizdad, Pyramids na Petro de Luanda.
Pot no.3: TP Mazembe, Al Hilal, ASEC Mimosa, na Yanga.
Pot no. 4: Etuile du Sahel, Jwaneng Galaxy, Nouadhibou na Medeama.
Kila kundi litakuwa na timu moja kutoka kila pot. Timu kwenye pot moja haziwezi kuwa kwenye kundi moja, bali timu kwenye pot tofauti zinaweza kuwa kundi moja. Kwa hiyo kuna uwezekano wa Simba na Yanga kuwa kwenye kundi moja!!
SWALI: Je mashabiki wa simba na Yanga wangefurahi kuwa kwenye kundi moja? Karibuni mtoe mawazo yenu hapa!!