Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua.

Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio bei inabakia kwa watu wa daraja la juu ndio watanunua tunda sh 15,000/.

Matunda kama haya yanapaswa kuja kuuzwa sh 500/ au 1000/ na hapo ndio consumption itakuwa kubwa sana.

Hapo ni Arusha mitaa ya Rushuda.tunda moja hapo ni sh 5000/ bado ni ghari sana. inapaswa kuja kuwa sh 1000/ au 1500/ basi.

View attachment 2898696
Tunda lenye faida nyingi sana mwilini na Wazungu, Wachina, wahindi wanayapenda sana haya matunda, Wachina ndio usiseme.
 
Nilikuwa nishakupandisha kiwango kukuona bonge la smart man unafunga kware unakula mayai ya kware ..huo' mkono wa mwarabu cjui Mzungu ndio nikajua kumbe umetoa mtandaoni
Kwa hio wewe una tatizo na Mkono mweupe? vipi ungekuwa mkono mweusi na still nisiwe mimi? yaani shida kuu kwako ni mkono mweupe? Aisee, Unataka ya mkono mweusi? Ubonge wa smart unanisaidia chochote kile? Take time mkuu
 
Nilikuwa nishakupandisha kiwango kukuona bonge la smart man unafunga kware unakula mayai ya kware ..huo' mkono wa mwarabu cjui Mzungu ndio nikajua kumbe umetoa mtandaoni
Kware nafuga kitambo sana, nakula yes sana nyama yake, kwa wiki naka sio chini ya kware 35 hadi 40. Shida iko wapi?
 
Tulianza na aloe vera,mafuta ya ubuyu, mayai ya kwale, almond,mbegu za maboga,mkojo wa sungura,kilimo cha nyoka, Tikiti elfu 1 kwa eka, ufugaji wa mende na sasa tumefika kwenye Kilimo cha Dragon

Job kweli kweli.
Nchi imejaa watu ambao kiwango cha kuwaza kimekita kwenye tope, ni sawa na gari difu ikite chini sasa ndio watu kama hawa
 
Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua.

Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio bei inabakia kwa watu wa daraja la juu ndio watanunua tunda sh 15,000/.

Matunda kama haya yanapaswa kuja kuuzwa sh 500/ au 1000/ na hapo ndio consumption itakuwa kubwa sana.

Hapo ni Arusha mitaa ya Rushuda.tunda moja hapo ni sh 5000/ bado ni ghari sana. inapaswa kuja kuwa sh 1000/ au 1500/ basi.

View attachment 2898696
Hilo tunda halina cha ajabu chochote. Ni tunda tu kama matunda mengine. Kwa sasa kuna wenye nazo watajisikia spesho sana kula hilo tunda (waache wapigwe), ila baadaye uzalishaji ukiwa mwingi, hata sisi wengine tutakula tu.
 
Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua.

Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio bei inabakia kwa watu wa daraja la juu ndio watanunua tunda sh 15,000/.

Matunda kama haya yanapaswa kuja kuuzwa sh 500/ au 1000/ na hapo ndio consumption itakuwa kubwa sana.

Hapo ni Arusha mitaa ya Rushuda.tunda moja hapo ni sh 5000/ bado ni ghari sana. inapaswa kuja kuwa sh 1000/ au 1500/ basi.

View attachment 2898696
Ghari = Ghali
 
Mayai ya kware yanautofauti gani na mayai ya kuku. Nyama ya kwareninatifauti gani na nyama ya kuku?
Dunia inabadilika sana ila kuna watu hawabadiliki, nimesoma maswali ya wadau hapa yanatia huruma.
1. Dragon Fruit ni biashara kubwa sana na matunda yake yanauzwa aghali sana hapa Mwanza Sh 15,000/ moja na yanatoka Kenya.
2. Almond anayesema naona hazijui hebu aende Supermarket akaulizie bei yake hata Korosho haifikii na bado watu hawajashtulia kuzilima.
3. Kwale Bora umewawekea picha, nilikwenda Dodoma jamaa yangu akinitaka twende mnadani tulale Kuku, tulipofika akamuita muuzaji atuletee kuku wachanga, sikuelewa nikahoji kuku wakubwa wapo iwekee tule wachanga, akacheka akanieleza ni wazuri Sana walupofikika akanieleza hawa mie huwaita Kuku wachanga sababu ni watodo lakini waita ni Kwale. Ni biashara kubwa sana watu wanatajirika nayo.
3. Mafuta ya ubuyu, mafuta ya mlonge, mafuta ya Vitunguu swaumu, mafuta ya karanga watu wanazalisha na bei ni mbaya.
Kwa kifupi Jambo usilolijua ninusiku wa Giza unachokiona hakifai kwako ni fursa kwa wengine na wanasomesha watoto na maisha yanasonga mbele.
 
Dunia inabadilika sana ila kuna watu hawabadiliki, nimesoma maswali ya wadau hapa yanatia huruma.
1. Dragon Fruit ni biashara kubwa sana na matunda yake yanauzwa aghali sana hapa Mwanza Sh 15,000/ moja na yanatoka Kenya.
2. Almond anayesema naona hazijui hebu aende Supermarket akaulizie bei yake hata Korosho haifikii na bado watu hawajashtulia kuzilima.
3. Kwale Bora umewawekea picha, nilikwenda Dodoma jamaa yangu akinitaka twende mnadani tulale Kuku, tulipofika akamuita muuzaji atuletee kuku wachanga, sikuelewa nikahoji kuku wakubwa wapo iwekee tule wachanga, akacheka akanieleza ni wazuri Sana walupofikika akanieleza hawa mie huwaita Kuku wachanga sababu ni watodo lakini waita ni Kwale. Ni biashara kubwa sana watu wanatajirika nayo.
3. Mafuta ya ubuyu, mafuta ya mlonge, mafuta ya Vitunguu swaumu, mafuta ya karanga watu wanazalisha na bei ni mbaya.
Kwa kifupi Jambo usilolijua ninusiku wa Giza unachokiona hakifai kwako ni fursa kwa wengine na wanasomesha watoto na maisha yanasonga mbele.
Mbona mnatumia nguvu sana kutushawishi
 
..labda dragon fruit itakuja kuwa kilimo kikubwa kama parachichi.

..watu wa mwanzo kulima parachichi kibiashara walionekana wendawazimu.
 
Wakuu, pale songea mjini nilipita Siku moja kuna matunda wanaita "matunda Mungu", niya msimu, Ni matamu sana, madogo Kama embe, Ila matamu kuliko papai, Yana rangi ya kijani, sijawahi kuyaona mkoa mwingine wowote

Yalikuwa yanauzwa sh 200 au Mia, miaka mtatu iliyopita, yanauzwa sokoni au na akina mama waotembeza kwenye dishi, kuna mtu amewahi kuona tunda hilo mkoa mwingine?, japo huenda jina likawa tofaiuti
 
Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua.

Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio bei inabakia kwa watu wa daraja la juu ndio watanunua tunda sh 15,000/.

Matunda kama haya yanapaswa kuja kuuzwa sh 500/ au 1000/ na hapo ndio consumption itakuwa kubwa sana.

Hapo ni Arusha mitaa ya Rushuda.tunda moja hapo ni sh 5000/ bado ni ghari sana. inapaswa kuja kuwa sh 1000/ au 1500/ basi.

View attachment 2898696
✅👏👏👏🙏
 
Hayo matunda yenyewe ya kichina,
Kuleni matakapela nyinyi na mapapai,nanasi,embe,machungwa,machenza yamejaa popote pale,we unaendaje kula tunda lina rangi ya Pink?
Mkuu, unafahamu asili ya hayo matunda uliyoyataja?
1. Mapapai yalitoka South America

2. Maparachichi (makatapela/makatapera) yalitoka South America

3. Maembe yalitoka Asia

4. Machungwa yalitoka pande za China

5. Hata nanasi inawezekana asili yake si bara la Afrika.

Kama haifai kula PITAYA (dragon fruits) kwa kuwa ni matunda ya kigeni, na hata hayo mengine nayo hayafai. Yote ni ya kigeni.

Lakini kama unazingatia afya, MSHOKISHOKI (dragon fruits) ni moja ya matunda yenye faida sana kiafya. Binafsi ninatamani niwe ninayala kila siku, ila upatikanaji wake huku niliko ni adimu. Hayapo kabisa, na wala hayajulikani.
 
Tulianza na aloe vera,mafuta ya ubuyu, mayai ya kwale, almond,mbegu za maboga,mkojo wa sungura,kilimo cha nyoka, Tikiti elfu 1 kwa eka, ufugaji wa mende na sasa tumefika kwenye Kilimo cha Dragon

Job kweli kweli.
Mkuu, unamaanisha fursa zimeendelea kuongezeka au kinyume chake?

Natamani sana Mataifa ya kware, naweza kupata wapi?

Ni wapi ninaweza kupata kware wa kuwafuga?
 
1.Alovera ni biashara kubwa sana Duniani, huonagi products za Alovera? au unataka vipi?

2. Hayo mafuta ya Ubuyu mbona yanauzwa na watu wana wananunua, unacho pondea kuna wenzako wana make pesa sasa endelea kupondea tu.

3.Mayai ya kware ni chakula, unaweza yatumia badala ya maayi ya kuku, yaani kazi zote zinazo fanywa na mayai ya kuku unaweza tumia mayai ya kware kwa usahihi na bado cost za kuzalisha hayo mayai ya kware zinakuwa chini kuliko za kuzalisha mayai ya kuku.Pia nyama yake ni unaweza kula unaweza tumia kama kitoweo na maisha yakaenda na kware wanatumia space ndogo kuliko kuku na hata chakula pia wanatumia kidogo sana.Wale wanafugwa kwa chakula, mayai yake na nyama yake unaweza hata chemsaha supu yake ni tamu usipime.

4.Almond mbona ziko sokoni na ni ghari sana? Kwanza Tanzania hatulimi almond sasa sijui unazungumzia almondi zipi.

5.Mbegu za Maboga mbona ziko sokoni na ni ghari sana? binafisi niliwahi enda sokoni nikashindwa bei yake, ni ghari sana, sijui unazungumzia nini na unataka nini hasa hapo. Nenda sokoni zipo na bei yake sio ya kitoto, sasa endelea kuponda wenzako ndio kazi zao, wewe kama unaona sio passion zako pita hivi waache ambao wao wanaona ndio sehemu wanapatia riziki.

6.Mkojo wa Sungura ni mbolea kuna wanao zalisha kwa kiwango kikubwa na wanasindika kabisa kwenye galloni za lita 5 au 10. ni mbolea Oramganic hilo halina ubishi, sasa sijui unataka nini.

7.Kilimo cha nyoka kama zoo au? Pale Arusha kuna Snake Park wanafuga nyoka na wanaingiza Pesa, sijui unazungumzia ufugaji wa aina gani wa nyoka na kwa ajili gani.Ila wanafugwa na wanao fuga wanapata pesa ndio maana wanafuga.

8.Tikitiki ni kilimo kikubwa sana, ni matunda yanapatikana msimu mzima, ni moja ya matunda ambayo yanapatikana mwaka mzima, inamaana sokoni huyaoni au unaish Mars? Kuna wanao kata kata wanauza sh 500/ ili watu wamudu kununua kuliko kununua zima na wanauza sana.

9.Mende wanafugwa wanao fuga wana make pesa.

10. Dragon fruits ni matunda, ni food,unaweza kula kama chakula labda kwako chakula ni ugari na wali, Dragon fruit ni tunda na tunda maana yake ni chakula so linaliwa kama chakula, ni geni kama ilivyo kiwi au Blueberries, na matunda mengine, ambayo ni yana kuwa imported. so tunda kama Dragon linalimika Bongo so tunapata chakula. Kuna aina zingine za matunda kwa nature hazilimwi Bongo so zinaendelea kuagizwa kutoka Nje.
Hata panya kuna watu wanaofuga kibiashara.

Mbegu ya maboga nishawahi kununua mara kadhaa supermarket
 
Back
Top Bottom