Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,478
- 283,869
Mkuu,mimi huwa sibahatishi!
nakuamini sana .
Mkuu,mimi huwa sibahatishi!
Sijamsakama Dr. Slaa, nimetoa taarifa halali kwa wanachama wa Chadema
Atavaa nini😕
Josefin atakubali kumuachia huru?
Dr Kasema anaomba utulivu, kama kunataarifa yoyote yeye mwenyewe ndiye atakayeitoa, iwe hapa jukwaani au kuitisha Press na wanadhani wa habari. Kakataa kumlisha maneno kinywani mwake, Hivi mnashindwaje kuwa na subira??
BACK TANGANYIKA
Mkuu, Dr. Slaa ni kiongozi mahiri wa Chadema. Hatutathubutu kamwe kufanya mzaha eti tukampoteza! Tumehakikisha kuwa anarejea katika hali yake kama awali na niwahakikishieni kuwa Dr. Slaa ameongeza ari na nguvu kuhakikisha CCM inang'okaKama ni hivyooo....thats 100% good news to us kama chadema na ukawa. Na nitumies fursa hii kuomba tumuache yy na familia yke wapumzike na tuache kuwaharras. Kama tunampenda bas na tumuheshimu.....#weneedyoudrSlaa #
Hahaaah imebidi niangue kicheko mpaka watu hapa wananishangaa.aisee hebu kwanza .....
![]()
we jamaa unatia aibu hadi nakuonea huruma !
Hahaaah imebidi niangue kicheko mpaka watu hapa wananishangaa.
Hizi katuni za sasa zina ujumbe mzuri sometime unakera lakini zimejaa usheshi wa hali ya juu.
Hii ni moja ya id ninazoziamini sana hapa jukkwani. Ni moja ya id ambazo hazijawahi kutuangusha. Tunashukuru kwa taarifa mkuu G SamHatimaye katibu mkuu wa Chadema Dr. Willbrod Slaa kesho ataanza rasmi kuhudhuria vikao vya chama ambapo atahudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema.
Kuonekana kwa Dr. Slaa kesho kutamaliza rasmi mjadala wa muda mrefu na propaganda zilizotawala eti Dr. Slaa kajitoa Chadema.
Katika hatua nyingine, upigwaji wa kura za maoni katika jimbo la Kibamba kwa watia nia wa Chadema utafanyika kesho baada ya mtia nia John Mnyika kupata nafua kutokana na kusumbuliwa na homa kwa muda.
Habari na G Sam
gd nwzKama ni hivyooo....thats 100% good news to us kama chadema na ukawa. Na nitumies fursa hii kuomba tumuache yy na familia yke wapumzike na tuache kuwaharras. Kama tunampenda bas na tumuheshimu.....#weneedyoudrSlaa #
Josefin atakubali kumuachia huru?