Dr W.P.Slaa ondoa mashaka kuhusu UDSM

Dr W.P.Slaa ondoa mashaka kuhusu UDSM

hivi padri slaa degree yake ya kwanza alipata nini na alisomea chuo gani vile???

Mashaka yake yalikuwa kwa
Mwigulu kuwa reasoning yake iko chini sana na kama alipata 1st class
basi kuna jambo sio la kawaida hapo UDSM. Ila mkuu kuna uzi ulisha
dhibitisha kuwa Mwigulu hakuwa na uwezo wa kupata 1st class ila kuna
kamchezo kalifanyika. Siendi mbali zaidi ya hapo.
 
Hata mm simuelewi kabisa!

UD kiwe chuo cha 4 kwa elimu bora Africa?This is more than a joke!Link uliyotafuta haya unayotuandikia ni kwenye popularity surf na sio Quality ya elimu yake!

UD ivishinde vyuo kama America University in Cairo?Ivishinde vyuo kama Durban University?Acheni kuota mchana nyie watz!

Amevurugwa huyo,hizo taarifa sio za kweli,sifungamani na upande wowote...ila kwa ranking za hivi karibuni,makerere kilikuwa kiko juu,kikifuatiwa na nairobi university,then ndo udsm kifuate...hebu atupe source ya taarifa zake...by the way ni dalili ya kufilisika kifrikra kumjadili mtu,badala ya kujadili ideas...
 
serikali imejaa phd holders na dr kibao, deliveries zao zikoje? hata mimi std vii naona naweza kuliko wao! Ikumbukwe vyuo vyetu havifundishi u-EPA etc, ni nafsi tu.
Kwa haya tunayoyashuhudia kipindi hiki cha kampeni kwa wagombea wetu,mashaka ya Dr Slaa yanaweza kuwa sahihi. Ile clip ya Dr Magufuli ... Mhh!!
 
Back
Top Bottom