Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Swali kwa docta.,...kwanini aliamua kuvunja ndoa yake na kuamua kumchukua mke wa mtu yaani christina na kuishi naye hali ni mke wa mtu.
 
Naona kila masiku yanapozikwenda Dr Slaa anazidi kuporomoka kisiasa ni aibu Dr Slaa kwenda kuhojiwa kwenye kipindi cha Hotmix, kipindi cha bongo movie.
 
Naona kila masiku yanapozikwenda Dr Slaa anazidi kuporomoka kisiasa ni aibu Dr Slaa kwenda kuhojiwa kwenye kipindi cha Hotmix, kipindi cha bongo movie.
Nani amekuambia? No research no right to speak. Sema unatamani dr ashuke kisiasa
 
Ni maswali mawili ya msingi kwa Dr Slaa.

1. Bavicha karibia wote wameishanunuliwa kwa kuendekeza njaa nani ataisaidia chama kushinda nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2012.

2. Kwa nini unakuwa mwepesi wa kukusanya kadi za CCM kwenye mikutano yako huku wewe mwenyewe binafsi kadi yako ya CCM umeificha mchagoni na kuilipia ada kila mwezi.

Hivi kuna ujaguzi mkuu 2012? au Posho za Nape zimekufanya ulewe?
 
Naona kila masiku yanapozikwenda Dr Slaa anazidi kuporomoka kisiasa ni aibu Dr Slaa kwenda kuhojiwa kwenye kipindi cha Hotmix, kipindi cha bongo movie.

Pole sana, Usichokijua ni kuwa hiko kipindi ni kwa jajili ya VIJANA, ambao ni wengi kwa sasa nchini na tunamaini ni wenye ushawishi mkubwa kwa wenzao na wazazi wao pia.!
 
Unaongea unayoyaamini au unajifurahisha? Mtu anaeporomoka Kisiasa angekua Breaking News kwenye vikao vyote vya magamba? Kwani hata wagombea kwenye kamati kuu ya magamba juzi si walisema kabisa kwamba mkinipa mimi madaraka nitaishughulikia CDM na Dr. Slaa?

Usitufanye kama watu wote tu mabwege, tunafuatilia sana tu, mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe, sijawahi kuona mpiga mawe wengine zaidi ya Dr. na Mbowe, kwanini?

Naona kila masiku yanapozikwenda Dr Slaa anazidi kuporomoka kisiasa ni aibu Dr Slaa kwenda kuhojiwa kwenye kipindi cha Hotmix, kipindi cha bongo movie.
 
ASANTE!MASWALI,1.anaongeleaje migomo ya wafanyakazi ambayo imekuwa ikiibuka na kukemewa mara kwa wara?2.chama kimekuwa kikiambiwa ni cha kikabila kwa kigezo cha viti maalum bungeni,na pia kuwa cha kidin anasemaje?3.kwann shibuda hadi leo hajatimulwa
 
Ni leo jumatano kuanzia 5-7pm LIVE ndani ya kipindi cha HotMix..

Ni nini ungependa kusikia toka kwake ama ufafanuzi upi naa wa jambo lipi ungependa kusikia akiongelea?

Mkuu utakuwa umechanganya kipindi,Nadhani ni Five Connect. Hot mix ni cha masharobalo dizaini
 
Ni leo jumatano kuanzia 5-7pm LIVE ndani ya kipindi cha HotMix..

Ni nini ungependa kusikia toka kwake ama ufafanuzi upi naa wa jambo lipi ungependa kusikia akiongelea?

Kama mpenda mabadiliko ya kweli Tanzania:
1. Nampongeza Dr. Slaa kwa Kufungua matawi ya CDM nchini nzima kama Uyoga,
2. Nampongeza Dr. kwa kuupuza propaganda zote na kuendelea kuchapa kazi usiku na mchana,
3. CDM bado ina safari ndefu ya ukombozi,wamejipangaje kabla ya 2014 local election,
 
Tbag Hatari wewe kweli hatari. siku zote nilikua natafuta id unayo tumia naikosa. kila siku naskia jf jf kumbe nawe unahusika!. ndo maana una point sana. ubarikiwe. mia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom