Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Saa 11 jioni mpaka saa moja jioni na sasa hivi saa 11 na dakika 45 jioni yupo hewani EATV
Hawa EATV wana matangazo mengi na yanachukua muda kweli. Mtu akifungulia TV akakutana na matangazo unaweza kudhani Dr. Slaa hayupo, ila bado yupo.
 
dollar kupanda unamshauri nini kikwete?'
Mimi kazi yangu sio kumshauri rais bali kukosoa serikali kikatiba. mimi napenda nizungumzie maisha ya mtanzania, ni magumu wakati serikali inasema ni rais. wananchi wananiuliza lami anapita wewe na kikwete sisi inatusaidia nini?. nyerere alisema;
maendeleo siyo ya vitu bali yabadilishe maisha ya watanzania.
kuhusu kadi: ni kweli nlikua mwana ccm. mjadala wa kadi unaendeshwa na watu mbumbumbu wa sheria. mtu ukisha hama chama umepoteza sifa ya cha cha awali. mia
 
Rais mtarajiwa amenifurahisha sana kwa kusema kadi ya CCM ni sawa na uchafu na hawezi kushika uchafu.
 
anasema, wanaosema naendelea kuilipia alete ushahidi. ukisha hama chama umepoteza sifa ya chama cha awali so kadi ni uamuzi wako kuitupa chooni kuichoma moto au kuifanya chochote hamna wa kukushitaki.
Kuhusu ziara anasema: wanao tuita kufungua matawi ndo wanagaramikia. fedha tunazopata ni misaada wfg,cas /cdu sweeden, noray, nasasa. ccm nao wanashirikiana na wapinzani wa hao wanao tusaidia. lazima watanzania wawe na akili pana. hakuna chama kinapokea hela zaidi ya nchi ya tanzania 30 asilimia. mia
 
mwaka ujao mna slogan nyingine?
anasema; majina hayatoka na sisi. sangara ilikua kuhamasisha na kuwaamsha wananchi. m4c inalenga kujenga mtandao nchi nzima na kujiandaa kushika dola/ kuondoa ccm".AMEMALIZA. mia
 
dr ni mtu hatari sana anaewaumizia vichwa ccm kila siku. bado anastahil kuwa raisi
 
wewe ni mbumbumbu!
Ritz hicho kipindi kinaangaliwa zaidi na vijana aged between 16years - 26years hivyo kwa maana nyingine inakuwa ni njia pia ya kuwafikia vijana ambao muda mwingi wanasikiliza na kuangalia tv za entertainment, hii si kwa Dr Slaa bali hata kwa issue zingine za kitaifa
 
Last edited by a moderator:
Ni maswali mawili ya msingi kwa Dr Slaa.

1. Bavicha karibia wote wameishanunuliwa kwa kuendekeza njaa nani ataisaidia chama kushinda nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2012.

2. Kwa nini unakuwa mwepesi wa kukusanya kadi za CCM kwenye mikutano yako huku wewe mwenyewe binafsi kadi yako ya CCM umeificha mchagoni na kuilipia ada kila mwezi.

Ni wapi umesibitisha kuwa Dr.analipia kadi kila mwezi?,wewe unaijua vizuri katiba yako?unaruhusuje mwanachama wa chama kingine kulipia ada ya chama chako?uliza maswali yenye maana,achana na maswali yanayofanana na chama ambacho hakina malengo wala itikadi kama ccm.
 
Ritz hicho kipindi kinaangaliwa zaidi na vijana aged between 16years - 26years hivyo kwa maana nyingine inakuwa ni njia pia ya kuwafikia vijana ambao muda mwingi wanasikiliza na kuangalia tv za entertainment, hii si kwa Dr Slaa bali hata kwa issue zingine za kitaifa

correction! 16-35
 
Hakuna nchi hata moja ya Afrika ambayo haipokei misaada toka nje mkuu. Labda ni misaada ya aina gani, kwa masharti gani, na kwa ajili ya nini.
chadema wao, ccm wanaposema wamejenga na wanaendelea kujenga barabara, chadema wanawauliza; suala si kujenga barabara. hela wamepata wapi? sasa kwa kuwa ni misaada kwa kiwango flani; basi wanaanza kuponda.ndo maana nikauliza hilo swali.
 
mimi naangalia tv. matangazo mengi so hawampi nafasi ya kumaliza sentesi. wangempa mda wa kutosha but bado anaendelea hadi saa moja. ntawajuza ntakayo fanikiwa kuandika. mia

ndio maana nikasema kipindi hicho si levo ya dk. Wao wanaona ni muda muafaka kwao kupata hela za matangazo.
 
Back
Top Bottom