MKURABITA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 317
- 126
Hawa EATV wana matangazo mengi na yanachukua muda kweli. Mtu akifungulia TV akakutana na matangazo unaweza kudhani Dr. Slaa hayupo, ila bado yupo.Saa 11 jioni mpaka saa moja jioni na sasa hivi saa 11 na dakika 45 jioni yupo hewani EATV