JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Naomba umuulize Dr kwanini anaogopa tahariri squire wakati akijua haki hutafutwa ata kwanguvu ikibidi yeye anaogopa nini kuhusu Hilo?
Tumekuwa tukitoa matamko mengi lakini serekali haisikii je cdm itaendelea kutoa matamko mpaka lini? Ni jitihada gani za dhati chadema inachukua baada ya serikali kupuuza matamko ya cdm?
Cdm wana mpango gani wa haraka dhidi ya wasaliti Kama akina shibuda na baadhi ya bavicha? Je tuhuma dhidi ya Zitto nini mtazamo wa Chama?
Ni hayo tuu Dr.
Tumekuwa tukitoa matamko mengi lakini serekali haisikii je cdm itaendelea kutoa matamko mpaka lini? Ni jitihada gani za dhati chadema inachukua baada ya serikali kupuuza matamko ya cdm?
Cdm wana mpango gani wa haraka dhidi ya wasaliti Kama akina shibuda na baadhi ya bavicha? Je tuhuma dhidi ya Zitto nini mtazamo wa Chama?
Ni hayo tuu Dr.