Adrian Stepp
R I P
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,600
- Thread starter
- #121
ndio maana nikasema kipindi hicho si levo ya dk. Wao wanaona ni muda muafaka kwao kupata hela za matangazo.
si sababu ya msingi hiyo
ndio maana nikasema kipindi hicho si levo ya dk. Wao wanaona ni muda muafaka kwao kupata hela za matangazo.
Adrian na mwenzako nawakubali sana kwa kuendesha kipindi chenu. Anyway, Sikuona mazingira ambayo mliandaa kwa mapokezi ya Dk, ila tu kipindi chenu nacho hakina mipaka. hatujajua mnamlenga nani hasa. Naona mfumo wenu ni kama wa FNL ila wao wana mipaka. Mngekuwa na mipaka ya ni aina gani ya watu mnaowaalika hapo studio ningekuwa na kauli tofauti na hii ya sasasi sababu ya msingi hiyo