Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Dr.W.P.Slaa ndani ya EATV

Siyo karibia BAVICHA wote wamenunuliwa ila baadhi tu,na dr.Slaa kuwa na kadi ya CCM si kosa
 
Mwsho DR.Slaa wakati unafanya majumuisho yako jaribu kutuelezea kwa ufupi tuhuma zinazoelekezwa kwako ili kukudhoofisha wewe binafsi na chama chako katika mapambano ya kudai haki, mahasimu wako kisiasa kila kukicha wanatunga propaganda mpya kukuchafua ili jamii ikuone hufai; Binafsi unalizungumziaje hili? tukipata kauli yako itatusaidia sana. (ingawa ulishaliongelea lakini ukisisitiza msimamo wako itakuwa vizuri zaidi)

Tungependa pia kujua kama kuna mpasuko wowote ndani ya chama ukiachia mbali hawa madiwani wawili watatu na vijana wachache wenye kujaa uroho wa madaraka na vipesa pesa vya kupewa ; any Threat na kama ipo je mnachukua hatua gani kuimaliza ili isilete madhara ndani ya chama?

Nawahi home kucheki kipindi...
 
Ni maswali mawili ya msingi kwa Dr Slaa.

1. Bavicha karibia wote wameishanunuliwa kwa kuendekeza njaa nani ataisaidia chama kushinda nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2012.

2. Kwa nini unakuwa mwepesi wa kukusanya kadi za CCM kwenye mikutano yako huku wewe mwenyewe binafsi kadi yako ya CCM umeificha mchagoni na kuilipia ada kila mwezi.
Ritz,Wakili Msomi mwenzangu,unatia aibu. Hivi, 2012 kuna uchaguzi?
 
ukiwa kiongozi lazima usemwe kwenye mitandao kamajamiiforums na mitandao mingine kusemwa kwangu ni kawaida kwani nmekomaa kisiasa. anasema dr. slaa. mia
 
uchaguzi nyamagana ulifanyika kihuni. walichukua madiwani ilemela na kuwaleta nyamagana. sisi tukasema labda wanataka ilemela iende kwa chadema. tulipinga utaratibu mahakamani. matata aliondoa kesi so tunafungua kesi za madai. sisi tuna uzoefu wa kesi hizo kupitia arusha. arusha wameshaanza kulipa m1.5 kila mmoja. anasema dr.slaa. mia
 
Swali kwa Dr Slaa. Je Dr Slaa unatambua kuwa CHADEMA haina viongozi imara katika ngazi ya mikoa na wilaya? Mfano mzuri ni mkoa wa Singida na wilaya zake. Je huu si wakati mwafaka wa kufanya mabadiliko katika ngazi hizo na kuweka viongozi imara na wasomi?. Pili, kuna uhaba mkubwa sana wa kadi, bendera na skafu za CHADEMA mikoani na wilayani. Je analitatuaje hili?
 
kuhusu shibuda anasema. kazi ya kufuatilia mienendo wa mtu ni kazi inachukua mda. watanzania tuzoee sio kila kitu tuchukue hatua. kwa mfano mtu akibabajwa watu wanamuona anatumikia nani. kuhusu zitto anasema "mimi ni member wa jamiiforum. wanachama wanajadili maneno mazito ndani ya jamiiforum badala ya kwenye chama" shutuma zinajadiliwa kwenye chama sio vijiwe vya kahawa. katiba inasema chombo cha nidhamu ni kamati kuu. kama itaona mitandao ndo njia mbadala watasema. anasema dr.slaa. mia
 
uchaguzi nyamagana ulifanyika kihuni. walichukua madiwani ilemela na kuwaleta nyamagana. sisi tukasema labda wanataka ilemela iende kwa chadema. tulipinga utaratibu mahakamani. matata aliondoa kesi so tunafungua kesi za madai. sisi tuna uzoefu wa kesi hizo kupitia arusha. arusha wameshaanza kulipa m1.5 kila mmoja. anasema dr.slaa. mia
Tupatie link mkuu na sisi tumsikilize
 
mpiga simu anasema je mumegundua kama kuna watu wamenunuliwa chadema?
anajibu;
chadema ni chama makini, tuna kitengo cha usalama wa chama. mengi tunayajua. katiba yetu inakataa kumwadhibu au kumshtumu mtu bila kufuata utalatibu kifuku cha 10 a na 9. kinakataza makundi. haya yanayo jadiliwa tuyasubili yafike ndani ya chama. mia
 
mfumo wa tume ya uchaguzi duniani kote sio kama huu wa tanzania. tume huru ndo inatakiwa. mfano ni africa kusini. so tusitegemee katiba mpya kutuletea tume huru. tuunde tume huru itakayo tumika 2014-2015 wakati katiba inaendelea. hatutaki waharakishe katiba eti sababu ya uchaguzi wa 2015 anasema dr.slaa. mia
 
mkuu figganigga weka mambo tunakufuatilia hadi nukta!
 
Mwsho DR.Slaa wakati unafanya majumuisho yako jaribu kutuelezea kwa ufupi tuhuma zinazoelekezwa kwako ili kukudhoofisha wewe binafsi na chama chako katika mapambano ya kudai haki, mahasimu wako kisiasa kila kukicha wanatunga propaganda mpya kukuchafua ili jamii ikuone hufai; Binafsi unalizungumziaje hili? tukipata kauli yako itatusaidia sana. (ingawa ulishaliongelea lakini ukisisitiza msimamo wako itakuwa vizuri zaidi)

Tungependa pia kujua kama kuna mpasuko wowote ndani ya chama ukiachia mbali hawa madiwani wawili watatu na vijana wachache wenye kujaa uroho wa madaraka na vipesa pesa vya kupewa ; any Threat na kama ipo je mnachukua hatua gani kuimaliza ili isilete madhara ndani ya chama?

Nawahi home kucheki kipindi...

mkuu hebu nijibu Pm yangu basi. Ielewe vyema
 
mimi naangalia tv. matangazo mengi so hawampi nafasi ya kumaliza sentesi. wangempa mda wa kutosha but bado anaendelea hadi saa moja. ntawajuza ntakayo fanikiwa kuandika. mia
pamooja mkuu!! mia
 
mimi ningependa atuambie wazi wazi kwamba ni ipi itikadi ya chadema? Chadema ikiingia madarakani tanzania itaendelea kupokea misaada toka nje au la?
Hakuna nchi hata moja ya Afrika ambayo haipokei misaada toka nje mkuu. Labda ni misaada ya aina gani, kwa masharti gani, na kwa ajili ya nini.
 
Back
Top Bottom