MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Mkuu usipoteze muda wako kukutana na hiki kizee utaaibika.. hakina mvutoNatamani siku moja nionane na wewe live nitafurahi sana
nimeshakutana nacho.
Ni kama kachoko fulan
Mkuu usipoteze muda wako kukutana na hiki kizee utaaibika.. hakina mvutoNatamani siku moja nionane na wewe live nitafurahi sana
CCM tumeishiwa pumzi kilichobaki sasa ni kutumia nguvu tu hakuna namna.Angesema walipewa viapo lini
Itakuwa tangu siku za nyuma mnataka kudanganya wananchi kutafuta kura za huruma.. ha ha haaaa tumeamka hatupendi kiki
Kwanini wanaficha kuwa mawakala wao walishapata hayo na hata hawataji namba.. leo wanasema eti wamepewa huku wanadai walitawanishwa eeeeeh hivyo wamekutana wapi kukusanywa kwa viapo?
Uongo mwingine bomu kabisa sema mliitea mkawaficha labda kusubiria usiku mjidai walikataliwa.. uongo mtupu ya mauaji yamewashinda ya mwenzenu
Angesema walipewa viapo lini
Itakuwa tangu siku za nyuma mnataka kudanganya wananchi kutafuta kura za huruma.. ha ha haaaa tumeamka hatupendi kiki
Kwanini wanaficha kuwa mawakala wao walishapata hayo na hata hawataji namba.. leo wanasema eti wamepewa huku wanadai walitawanishwa eeeeeh hivyo wamekutana wapi kukusanywa kwa viapo?
Uongo mwingine bomu kabisa sema mliitea mkawaficha labda kusubiria usiku mjidai walikataliwa.. uongo mtupu ya mauaji yamewashinda ya mwenzenu