Usinitege na Vijimaneno tulivoviazima kutoka katika Lugha za Wakoloni ni uvivu tu wa Baraza la Kiswahili Tanzania kutunga mbadala wa lugha hizo za Kikoloni.
Kila lugha ina maneno ya kuazima hata Kiarabu chenyewe kina maneno ya kuazima kutoka katika lugha nyingine.
Jina la Allah halina wingi hata kwenye kiarab lakini mungu lina wingi kwahiyo utapo tumia mungu inamaana ana washirika yaani miungu mingine ila unapo sema Allah, hakuna wingi wa jina hilo popote dunia katika lugha yoyoe ile
Usinitege na Vijimaneno tulivoviazima kutoka katika Lugha za Wakoloni ni uvivu tu wa Baraza la Kiswahili Tanzania kutunga mbadala wa lugha hizo za Kikoloni.
Kila lugha ina maneno ya kuazima hata Kiarabu chenyewe kina maneno ya kuazima kutoka katika lugha nyingine.
Kabla ya ujio wa mtume muhammad waarab wa makka waliuwa na culture zao, baada ya hapo waarab waka copy kwenye uislam mpaka hii Leo,
Nchi za kiislam zinaendesha sheria zake kwa kutumia uislam,