Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Haya sawa bikra huyu wa 72 utamkuta huko
 
Pole sana,kakwambia nani!?..unaumia sana na uislam,sijui walianza kukufundisha kumchukia mwarabu kwanza halafu dini yake au dini yake kwanza halafu mwarabu!?..maana unachukia uarabu!
Hata wakati mnasujudu kuna Vijimaneno vya Kiarabu huwa mnavisema bila kujua mnasema nini.
 
Pole sana,kakwambia nani!?..unaumia sana na uislam,sijui walianza kukufundisha kumchukia mwarabu kwanza halafu dini yake au dini yake kwanza halafu mwarabu!?..maana unachukia uarabu!
Huyu ni bikra wa 71 utamkuta pia
 
Huo ni msikiti,ndipo waislam huelekea hapo kwenye swala zao, msikiti huo hufunikwa kwa pazia jeusi
Hilo ni Jengo la Mapagani wa Kiarabu walikuwa wakizunguka wakiwa uchi Uislamu ukaja kiwazulumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…