Nchini Afrika ya kusini wana uongozi bora, kuweza kuhudumia wana nchi wake kwa huduma muhimu ikiwemo Afya. (Hospital nzuri zenye vifaa na dawa za kutosha, pia wanawajari wahudumu wa afya pia) Mungu atusaidie kuwa na viongozi wenye kutoa maamuzi yenye hekima na busara kunusuru maisha ya wa Tanzania.