VEROMAKUNA
New Member
- Aug 13, 2015
- 2
- 0
Huyu Mama.
..alinifundisha labour law UDSM...yupo vizuri mno....all the best
Mimi alinifundisha PROBATE ,law school,yuko vizuri sana
Huyu Mama.
..alinifundisha labour law UDSM...yupo vizuri mno....all the best
naunga mkono hoja ila hili la kujiuzulu kwanza, mtu anachukua tuu likizo, akishapata ndipo anajiuzulu!. Naamini hivyo ndivyo alivyofanya Dr. Mwele!.Nafikiri hapa tunazungumzia maadili (ethics) na siyo brains za huyu mdada, unless kama she is not a card bearing member wa CCM lakini CCM inamsuport-mimi ningemkubali. Kama ni mwanachama CCM alitakiwa ajiuzulu uDAG ndiyo agombee USPIKA. Na asiwe considered tena kwa hiyo nafasi ya DAG or AG. Hizi nafasi "zinatakiwa" kushikwa na zinafaa kushikwa na watu ambao si wana chama wa chama chochote.
haya mambo yapo kila mahali mfano chadema kuteua viti maalum ilhali bado ni ccm ajabu kabisa.
Mimi alinifundisha PROBATE ,law school,yuko vizuri sana
kwa kauli hii wapinzani wa CCM wasilalamike, maana na wao bado wanateua watu wao kutoka CCM kwa hiyo hata serikali lazima iende huko huko CCM kuchukua watendaji wake?
Kifungu gani cha sheria au kanuni kinamkataza kuwania hiyo nafasi?
Tanzania tumefika hapa kutokana na viongozi wajinga wajinga!, nafasi ya uspika imetangazwa, nimeona kuna best brains wameonyesha interest, badala ya ku support na ku encourage ndio kwanza mna discourage!, mnataka tuendelee kuongozwa na wajinga wajinga hadi lini?!.
Pasco
Sio unaweza kushangaa, bali mpaka sasa Dr. Tulia ndio the next speaker!, hiki ni kichwa!, CCM ya Magufuli inahitaji kutumia the brain powers!, zile zama za siasa za blah blah, na kuongozwa ni viongozi wajinga wajinga zimepita!, sasa ni kazi tuu!.Unaweza shangaa Dr. Tulia akawa spika.
Utatusaidia sana ukiiweka hapa hiyo kanuni!. Mbona alipogombea urais Dr. Mwele, hii nongwa haikuwepo?!. Nijuavyo mimi, hitaji la kujiuzuli ni iwapo atachaguliwa!.ndugu yangu, usijifanye mwanasheria mjinga kwasababu ya mihemuko, kanuni zilimtaka aachie nafasi yaks ndiyo aende kugombea, am sure agechukua kupitia Chama shindani, angekuwa ameishafutwa kazi, kama Mwanasheria unatakiwa kuangalia kanuni na taratibu na si kuhemuka
Huyu anamhuhujumu aliyemteua...!Kwa kulinda heshima yake ajiuzulu, huwezi kua Deputy AG ukawa kada wa chama.hapo kachemka
Pasco najua Dr. Tulia ni next speaker na si coincidence bali ndivyo alivyoagizwa.Utatusaidia sana ukiiweka hapa hiyo kanuni!. Mbona alipogombea urais Dr. Mwele, hii nongwa haikuwepo?!. Nijuavyo mimi, hitaji la kujiuzuli ni iwapo atachaguliwa!.
Nikiwa mlimani, Dr. Sengodo Mvungi (RIP) alikuwa ni kiongozi pale faculty ni ni kiongozi wa NCCR!, alipogombea urais kupitia NCCR alijiuzulu baada ya kupitishwa!. Prof. Mwesiga Beregu alikuwa kiongozi chuo na ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema miaka nenda miaka rudi!. Prof. Kitila Mkumbo ni kiongozi wa UDASA na amekuwa kiongozi Chadema na sasa ACT mbona hakuna nongwa?!.
Nasema kwa msisitizo, namfahamu Dr. Tulia ni kichwa mbaya!, kama CCM ni kweli imebadilika na kuachana na viongozi magoigoi!, then Dr. Tulia ndio atapitishwa!.
Pasco
Utatusaidia sana ukiiweka hapa hiyo kanuni!. Mbona alipogombea urais Dr. Mwele, hii nongwa haikuwepo?!. Nijuavyo mimi, hitaji la kujiuzuli ni iwapo atachaguliwa!.
Nikiwa mlimani, Dr. Sengodo Mvungi (RIP) alikuwa ni kiongozi pale faculty ni ni kiongozi wa NCCR!, alipogombea urais kupitia NCCR alijiuzulu baada ya kupitishwa!. Prof. Mwesiga Beregu alikuwa kiongozi chuo na ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema miaka nenda miaka rudi!. Prof. Kitila Mkumbo ni kiongozi wa UDASA na amekuwa kiongozi Chadema na sasa ACT mbona hakuna nongwa?!.
Nasema kwa msisitizo, namfahamu Dr. Tulia ni kichwa mbaya!, kama CCM ni kweli imebadilika na kuachana na viongozi magoigoi!, then Dr. Tulia ndio atapitishwa!.
Pasco
Tupatupa naomba utusaidie kidogo. Huyu mtu kaomba nafasi ya kugombea Uspika kwa kupitia CCM, Hapo inamaanisha yeye ni kada wa chama. Madaraka aliyonayo hayamruhusu kujidhihirisha kuwa ni kada wa chama. Sasa jee akiukosa huo Uspika, jambo ambalo ni dhahiri atarudi tena kwenye ofisi yake ya Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali?
Jee iwapo atarudi na jambo hilo likapotezewa kama ilivyo kawaida ya serikali hii ya ccm, sasa kesho na kesho kutwa akijitokeza kiongozi mwingine wa serikali eitha Katibu mkuu, Kamishna au mwenye wadhifa wowote akagombea nafasi yeyote ya juu inayodhaminiwa kichama kwa kupitia Chadema au CUF na akashindwa ataruhusiwa kurudi kazini kwake?