Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Pasco
Ni kweli kwa sheria zetu huenda zinamruhusu kugombea uspika lakini kwa msomi kama yeye na kama usemavyo kwa kichwa kama yeye haingii akilini kwenda kugombea USPIKA kupitia CHAMA whether ni CCM au la. Akisha jifunga na CHAMA kwa level ya kugombea USPIKA hafai kuendelea kuwa Deputy AG au AG (tulilisema hili kuhusu Judge Ramadhani). Kwani ni wazi ni vigumu kuwa impartial hasa kwenye kesi za kisiasa au ushauri wa kisiasa. Lakini Tz yote yawezekana si unaona yanayoendelea Zanzibar?
Ni kweli kwa sheria zetu huenda zinamruhusu kugombea uspika lakini kwa msomi kama yeye na kama usemavyo kwa kichwa kama yeye haingii akilini kwenda kugombea USPIKA kupitia CHAMA whether ni CCM au la. Akisha jifunga na CHAMA kwa level ya kugombea USPIKA hafai kuendelea kuwa Deputy AG au AG (tulilisema hili kuhusu Judge Ramadhani). Kwani ni wazi ni vigumu kuwa impartial hasa kwenye kesi za kisiasa au ushauri wa kisiasa. Lakini Tz yote yawezekana si unaona yanayoendelea Zanzibar?
Last edited by a moderator: