Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

we hujui kama mtumishi wa umma haruhusiwi kuwa mwanasiasa au mwanachama wa chama cha siasa?

Acha uongo nitajie sheria au kanuni inayokataza mtumishi wa umma kuwa mwanasiasa au kushiriki siasa?
 
usiwe ----- yule ni mtumishi wa umma atakiwi kujiusisha na chama je kwenye maamuzi ataeleweka vipi?

Acha kukurupuka bwanamdogo. Mwanamama ana haki ya kuwania nafasi ya spika.hakuna cha kumzuia.mengine porojo tu.
 
Like like like like like like ni hatari kuwa Na wanasheria wajinga Kama huyo anaenda Na emotions Na mapenzi kwa mtu badala ya kuangalia kanuni Za Utumishi wa umma zinasema nini kwa ngazi yake, Tanzania tunasafari ndefu sana

hakika mkuu,tuna safari ndefu sana.. Pasco kaamua makusudi kujipofusha,kwa sababu anazozijua yeye!
Nachelea kusema ni binafsi!
 
Last edited by a moderator:
hakika mkuu,tuna safari ndefu sana.. Pasco kaamua makusudi kujipofusha,kwa sababu anazozijua yeye!.
Nachelea kusema ni binafsi!
Tanzania tumefika hapa kutokana na viongozi wajinga wajinga!, nafasi ya uspika imetangazwa, nimeona kuna best brains wameonyesha interest, badala ya ku support na ku encourage ndio kwanza mna discourage!, mnataka tuendelee kuongozwa na wajinga wajinga hadi lini?!.

Pasco


 
yule dada ni kati ya wanawake wanafiki hapa tanzania,hafai kabiswa.. tulimwona katika bunge la katiba
 
Si kosa la huyu Dada, ni mambo ya Rais mstaafu Mh. Dr Kikwete na uteuzi wake usio kuwa na mipango (not programmed). Dr Tulia Ackson alidhamiria kugombea Uspika kutokana na kuendesha Bunge la Katiba vizuri ktk nafasi yake. Ghafula anatunukiwa Unaibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Ukweli hiki ni cheo kikubwa kuliko uspika na hakina longolongo halafu uspika watu washasema wakikatwa wataenda mahakamani. Dr Tulia Ackson hakushauriwa vizuri angetakiwa aachie hii lengo lake maana tayari ni Deputy Attorney General. Pia ni kulinda heshima kwa aliyemteua. Dr Tulia Ackson I like you are educated you are not sick with Elimu Elimu Elimu disease. Merit your status you are Deputy Attorney General

Mi nnachojua baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu anayefuata ni Spika. Hiyo ishu na naibu mwanasheria kuwa juu ya spika ndo naisikia kwako
 
kwa akili hizi,ndio mana ulidisco hata Law of Contract!..halafu bila aibu unakuja na stupid excuses eti watu wa kanda ya Ziwa tuna udhaifu,wakati anafundisha eti akili inawaza mengine....shame!
.hoja ya msingi inabaki kwenye hitimisho la hoja yako ya kwanza:.,je,hajavunja sheria/kanuni/taratibu?
'hoja' nyingine zote ni viroja tu!
Camooon....aise mkuu nimekuonea fahari.
 
Tanzania tumefika hapa kutokana na viongozi wajinga wajinga!, nafasi ya uspika imetangazwa, nimeona kuna best brains wameonyesha interest, badala ya ku support na ku encourage ndio kwanza mna discourage!, mnataka tuendelee kuongozwa na wajinga wajinga hadi lini?!.

Pasco



mkuu Pasco,unaweza kuwa na hoja ila si kwa muktadha huu.
Swali rahisi ni.,je Dr Tulia pamoja na huo 'uwezo' wake, kama mtumishi wa umma,tena mwenye cheo kikubwa.,kugombea nafasi ya kisiasa hajavunja sheria/kanuni/taratibu?
 
Tanzania tumefika hapa kutokana na viongozi wajinga wajinga!, nafasi ya uspika imetangazwa, nimeona kuna best brains wameonyesha interest, badala ya ku support na ku encourage ndio kwanza mna discourage!, mnataka tuendelee kuongozwa na wajinga wajinga hadi lini?!.

Pasco



Umelewa ulanzi na chimpumu,kapige kwanza supu ya utumbo wa kuku
 

Ni kweli nili disco UDSM kwa sababu ya law of contract tuu!, nadhani kabla hujanishutumu ulipaswa kunipongeza kwa kuwa very open!, kufuatia ku disco ni jambo la aibu, watu wanaodisco, huwa hawathubutu kusema!. Ila pia kati ya masomo simple kabisa ya sheria ni law of contract!, hivyo whoever atakaye disco chuo kwa sababu ya somo moja tuu la law of contract, then atakuwa amedisco kwa sababu nyingine zaidi ya ujinga, regardless hiyo sababu ni ya kijinga vipi!.

This is a fact kuwa Kanda ya Ziwa wana udhaifu katika masuala fulani!, kitendo tuu cha kuukubali udhaifu fulani, hiyo ni strength!. huu pia ni udhaifu, we all all human, hivyo udhaifu kama huu wa mwalimu kufundisha darasani huku wanafunzi wengine wanawaza mengine au wako mbali, ni kawaida sana!, na wala sio shame!, ila kama ni shame labda iwe ni ya mimi kujikubali nilikuwa dhaifu!.
.thanks for this!.
' sasa hizo unazoita viroja ndipo ilipolalia hoja yangu ya msingi kabisa kumhusu huyu Dr. Tulia Akson!. She is a best brain!. Tanzania tuko hapa tulipo kwa sababu ya ignorance ya watawala wetu!, we don't tap the best brains we have na ndia maana tuko hapa tulipo!. Siku zote CCM inashinda kwa sababu imewekeza kwenye ujinga, na ina take advantage ya ignorance ya Watanzania kuendelea kutawala!. Nikashauri kama CCM inataka mabadiliko ya kweli, Dr. Tulia as a no nonsense lady, can make the best speaker Tanzania has ever had!.

Hili la Ignorance ya Watanzania nimelizungumza sana tuu na limetokea tena!.
[h=3]Watanzania ni ignorants au tumelogwa?
[/h][h=3]Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana
[/h][h=3]Watanzania ni Wajinga, Ignorants!, Mwaka 2010 Tulifanya Ujin
[/h][h=3]Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed d
[/h] [h=3]Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufis[/h][h=3]Kuwajibishwa kwa Prof. Tibaijuka ni Muendelezo wa Ignorance a
[/h][h=3]Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.[/h][h=3]Pamoja Na Ufisadi Wake Wote, Chenge is One of Best Brains
[/h]Pia kuhusu nafasi ya spika nimeisha izungumzia sana humu
[h=3]Naibu Spika Anna Makinda ni Dikteta! -[/h][h=3]Spika Makinda Press Conference Live!.
[/h][h=3]Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!,
[/h][h=3]Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/
[/h][h=3]Spika Makinda achezea Kibano - Bungeni Live! -
[/h][h=3]Vurugu za Jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!-
[/h]Pasco

Kama umeanza kuvuta,vuta angalau cha tarime au arusha,naona hiyo unayovuta inakufanya unakuwa kama zzta
 
wasomi wetu ni watu wakujipendekeza na hawafuati weredi wa taaluma zao.

wanafanya mambo kwa tamaa ya madaraka.

hawaachi legacy kwa hiyo wanabaki bila ya heshima.
 

Ni kweli nili disco UDSM kwa sababu ya law of contract tuu!, nadhani kabla hujanishutumu ulipaswa kunipongeza kwa kuwa very open!, kufuatia ku disco ni jambo la aibu, watu wanaodisco, huwa hawathubutu kusema!. Ila pia kati ya masomo simple kabisa ya sheria ni law of contract!, hivyo whoever atakaye disco chuo kwa sababu ya somo moja tuu la law of contract, then atakuwa amedisco kwa sababu nyingine zaidi ya ujinga, regardless hiyo sababu ni ya kijinga vipi!.

This is a fact kuwa Kanda ya Ziwa wana udhaifu katika masuala fulani!, kitendo tuu cha kuukubali udhaifu fulani, hiyo ni strength!. huu pia ni udhaifu, we all all human, hivyo udhaifu kama huu wa mwalimu kufundisha darasani huku wanafunzi wengine wanawaza mengine au wako mbali, ni kawaida sana!, na wala sio shame!, ila kama ni shame labda iwe ni ya mimi kujikubali nilikuwa dhaifu!.
.thanks for this!.
' sasa hizo unazoita viroja ndipo ilipolalia hoja yangu ya msingi kabisa kumhusu huyu Dr. Tulia Akson!. She is a best brain!. Tanzania tuko hapa tulipo kwa sababu ya ignorance ya watawala wetu!, we don't tap the best brains we have na ndia maana tuko hapa tulipo!. Siku zote CCM inashinda kwa sababu imewekeza kwenye ujinga, na ina take advantage ya ignorance ya Watanzania kuendelea kutawala!. Nikashauri kama CCM inataka mabadiliko ya kweli, Dr. Tulia as a no nonsense lady, can make the best speaker Tanzania has ever had!.

Hili la Ignorance ya Watanzania nimelizungumza sana tuu na limetokea tena!.
[h=3]Watanzania ni ignorants au tumelogwa?
[/h][h=3]Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana
[/h][h=3]Watanzania ni Wajinga, Ignorants!, Mwaka 2010 Tulifanya Ujin
[/h][h=3]Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed d
[/h] [h=3]Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufis[/h][h=3]Kuwajibishwa kwa Prof. Tibaijuka ni Muendelezo wa Ignorance a
[/h][h=3]Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.[/h][h=3]Pamoja Na Ufisadi Wake Wote, Chenge is One of Best Brains
[/h]Pia kuhusu nafasi ya spika nimeisha izungumzia sana humu
[h=3]Naibu Spika Anna Makinda ni Dikteta! -[/h][h=3]Spika Makinda Press Conference Live!.
[/h][h=3]Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!,
[/h][h=3]Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/
[/h][h=3]Spika Makinda achezea Kibano - Bungeni Live! -
[/h][h=3]Vurugu za Jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!-
[/h]Pasco

Pasco,
Ninaona una utaalam flanu wa sheria japokuwa uli 'disco'.

Maswala makubwa ya vyeo vya kikatiba na mihimili mikuu ya mamlaka ya nchi inasimamiwa na dhana za 'rule of law' na 'separation of powers'.
Dhana hizi na misingi yake ndo huleta 'stability' na 'practical/orderly democracy'.

Matumizi ya rule of law na balance of powers yanahitaji busara zinazoendana na muktadha.
Busara hiyo ndio inayohitahika hasa katika kuondoa dhana ya kubebana, kupendeleana, kukumbatiana na kupewa vyeo kwa majina ya 'mfukoni'.
 
Kifungu gani cha sheria au kanuni kinamkataza kuwania hiyo nafasi?

Kuna kitu unapaswa kujifunza. Si kila jambo ambalo halikatazwi na sheria ni halali. Kwa kuwa tu sheria haimkatazi haina maana kuwa ni halali yeye kugombea bila kujiuzulu nafasi yake ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Vivyo hivyo, si kila jambo linaloruhusiwa na sheria ni halali. Kwa mfano, haiwezi kuwa halali kuzuia watu wa dini au jinsia fulani kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu hata kama sheria inasema hivyo. Not all legal acts are legitimate. Some legal acts are illegitimate. Similarly, not all illegal acts are illegitimate. Some illegal acts are legitimate. Mfano, nchi A kupeleka majeshi nchi B bila ruhusa ya United Nations pale nchi A inapoamini kuwa mauaji ya kimbari yamepangwa kufanyika katika nchi B na morally nchi A inaamini ina wajibu wa kuzuia mauaji hayo. Na kwamba pengine ruhusa ya UN haiwezi kupatikana kwa kuwa baadhi nchi zenye nguvu zitapinga kwa kura ya veto.

Dr. Mwele Malecela alionesha nia ya kugombea urais kupitia CCM wakati akiwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Umma ya Utafiti ya NIMR. Baada ya kushindwa ameendelea kuwa Mtendaji Mkuu wa NIMR. Katika hali hii, tunaruhusiwa kuamini kuwa nafasi hiyo aliipata kwa kuwa ni kada wa CCM, hata kama ana sifa (kwa kuwa kuna wengi wenye sifa). Ni busara ya kawaida tu kwamba alipaswa kujiuzulu nafasi hiyo kabla kuingia rasmi kwenye siasa za kuchaguliwa/kupigiwa kura. Na watu wa aina hii ndio hujifanya wanajua sana maadili. Lakini ni watu wa hovyo sana japo ni wasomi wazuri tu.
 
Tanzania tumefika hapa kutokana na viongozi wajinga wajinga!, nafasi ya uspika imetangazwa, nimeona kuna best brains wameonyesha interest, badala ya ku support na ku encourage ndio kwanza mna discourage!, mnataka tuendelee kuongozwa na wajinga wajinga hadi lini?!.

Pasco


Waeleze hao, Pasco.
 
Tanzania tumefika hapa kutokana na viongozi wajinga wajinga!, nafasi ya uspika imetangazwa, nimeona kuna best brains wameonyesha interest, badala ya ku support na ku encourage ndio kwanza mna discourage!, mnataka tuendelee kuongozwa na wajinga wajinga hadi lini?!.
Pasco

Nafikiri hapa tunazungumzia maadili (ethics) na siyo brains za huyu mdada, unless kama she is not a card bearing member wa CCM lakini CCM inamsuport-mimi ningemkubali. Kama ni mwanachama CCM alitakiwa ajiuzulu uDAG ndiyo agombee USPIKA. Na asiwe considered tena kwa hiyo nafasi ya DAG or AG. Hizi nafasi "zinatakiwa" kushikwa na zinafaa kushikwa na watu ambao si wana chama wa chama chochote.
 
Back
Top Bottom