Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
haya mambo yapo kila mahali mfano chadema kuteua viti maalum ilhali bado ni ccm ajabu kabisa.
Kaka hapa hatuongelei vyama ila haki, huyo ni mtu wa sheria ambaye anapaswa kuwa Neutral, kama alikuwa anautaka Uspika ana haki ya kugombea ikiwa tu angejiudhuru huo unaibu Mwanasheria mkuu, lakini kwa sasa alichokifanya ni kuivunja sheria ambayo yeye mwenyewe ndio anaisimamia