masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Malafysle hizo siasa za kizamani sana.Wakuu natanguliza salamu ,
Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Mbeya , Wilaya ya Kyela , kijiji cha Kajunjumele ,utamaduni wa Kyela na Rungwe unashabihiiana kwa kiasi kikubwa sana , wakazi wengi wa Wilaya hii ni Wanyakyusa , japo kuna makabila mengine.
Tunazo ngoma za asili ambazo kwa uchache ni Mang'oma , Ipenenga , Samba nk , na tumecheza ngoma hizi kwa miaka mingi bila msaada wa hela ama chochote kutoka kwa yeyote , kama kuna aliyetoa chochote basi alitoa kama vile PDG Ndama Mutoto wa ng'ombe anavyowapa wanamuziki wa FM ACADEMIA .
Sasa cha kushangaza mwaka huu amezuka mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia Ackson , Huyu tetesi zinadokeza kwamba lengo lake si kufadhili ngoma za asili , maana alikuwepo miaka yote na alikuwa na uwezo kama huu wa leo , lakini hakufanya hivi , taarifa zinaonyesha kwamba amelenga kurubuni wakazi wa Rungwe ili achaguliwe mbunge uchaguzi ujao .
Mbinu hii ya kizamani haikubaliki , na naomba kuchukua nafasi hii kuwaasa wana Rungwe kumuogopa huyu mama kama ukoma .
Dr Tulia aliyeingia bungeni na kubebwa kwa mbeleko ya chuma hadi kwenye unaibu spika , amekuwa mstari wa mbele kudhalilisha na kunyanyasa wabunge wa upinzani , amezima mijadala mingi yenye tija ili kuokoa chama chake , huyu hawezi kuwa msaada wa Akina Mama wauza ndizi na maziwa wa ushirika au Kiwira , hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji cha Makandana , hafai .
Dr Ngunangwa aliwahi kuwauliza waliokuwa wanajipitisha kwenye jimbo lake huko Njombe na kutoa zawadi za baiskeli nk , kwamba WALIKWINA ? yaani kwa kiswahili , MIAKA YOTE WALIKUWA WAPI ?
Nakala ya uzi huu imfikie JOHN MWAMBIGIJA .
Mwabigija ndo tutegemee nini!Akina Dr Mwakyusa walifanya nini Rungwe ? CCM hii iliyoshindwa kwa miaka 60 usitegemee ifanye lolote , nenda Kyela ukaone jinsi msomi Mwakyembe anavyoiteketeza , Mango Tree imekwenda hivi hivi tunaona !
MATATIZO HAYAWEZI KUMALIZWA KWA KUTUMIA AKILI ZILEZILE KUTOKA KWA WATU WALEWALE WALIOYATENGENEZA .Malafysle hizo siasa za kizamani sana.
Mwabigija ndo tutegemee nini!
lini uchaguzimkimpa ubunge huyu dada, nitawadharau sana wanyakyusa.
huyu nakwambia hawezi kushinda jimbo lolote katika mkoa wa Mbeya hata akiroga.mkimpa ubunge huyu dada, nitawadharau sana wanyakyusa.
Haya mambo yalikuwepo toka siku nyingi tena mashindano hasa .Nakumbuka tulikuwa wadogo tunayaona haya.Naona wewe akili zako zote umejaa siasa kuna watu wanaona mbali zaidi ya siasa , vile vile kufufua ngoma za asili ambazo siku nyingi zilishaanza kusahaulika anatakiwa kupongezwa badala ya kushutumiwa .Badilikeni jamani.
Kuna sehemu hata moja mleta UZI kasema hizi ngoma ni mpya!?Haya mambo yalikuwepo toka siku nyingi tena mashindano hasa .Nakumbuka tulikuwa wadogo tunayaona haya.Naona wewe akili zako zote umejaa siasa kuna watu wanaona mbali zaidi ya siasa , vile vile kufufua ngoma za asili ambazo siku nyingi zilishaanza kusahaulika anatakiwa kupongezwa badala ya kushutumiwa .Badilikeni jamani.
Anaweza kupewa na wanaccm wenzii mkuumkimpa ubunge huyu dada, nitawadharau sana wanyakyusa.
Kwa dhana hii uliyonayo kichwa ni uchaw pia hvyo nawe ni mshirikinaNgoma nyingi huko kwa wanyaki zimehusishwa na mambo ya uganga na mambo ya kishirikina. Kwa hiyo huyu msomi Acks amechagua kutegemea misukule? Nilipata kusikia ni mcha Mungu sana!
Katika utamaduni wa wanyakyusa ngoma huwa haziandaliwi na wanawake, mwanamke hushiriki kucheza tu baadhi ya ngoma, ila ngoma za mama huyu zilikuwa za kibiashara zsidi.Wakuu natanguliza salamu ,
Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Mbeya , Wilaya ya Kyela , kijiji cha Kajunjumele ,utamaduni wa Kyela na Rungwe unashabihiiana kwa kiasi kikubwa sana , wakazi wengi wa Wilaya hii ni Wanyakyusa , japo kuna makabila mengine.
Tunazo ngoma za asili ambazo kwa uchache ni Mang'oma , Ipenenga , Samba nk , na tumecheza ngoma hizi kwa miaka mingi bila msaada wa hela ama chochote kutoka kwa yeyote , kama kuna aliyetoa chochote basi alitoa kama vile PDG Ndama Mutoto wa ng'ombe anavyowapa wanamuziki wa FM ACADEMIA .
Sasa cha kushangaza mwaka huu amezuka mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia Ackson , Huyu tetesi zinadokeza kwamba lengo lake si kufadhili ngoma za asili , maana alikuwepo miaka yote na alikuwa na uwezo kama huu wa leo , lakini hakufanya hivi , taarifa zinaonyesha kwamba amelenga kurubuni wakazi wa Rungwe ili achaguliwe mbunge uchaguzi ujao .
Mbinu hii ya kizamani haikubaliki , na naomba kuchukua nafasi hii kuwaasa wana Rungwe kumuogopa huyu mama kama ukoma .
Dr Tulia aliyeingia bungeni na kubebwa kwa mbeleko ya chuma hadi kwenye unaibu spika , amekuwa mstari wa mbele kudhalilisha na kunyanyasa wabunge wa upinzani , amezima mijadala mingi yenye tija ili kuokoa chama chake , huyu hawezi kuwa msaada wa Akina Mama wauza ndizi na maziwa wa ushirika au Kiwira , hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji cha Makandana , hafai .
Dr Ngunangwa aliwahi kuwauliza waliokuwa wanajipitisha kwenye jimbo lake huko Njombe na kutoa zawadi za baiskeli nk , kwamba WALIKWINA ? yaani kwa kiswahili , MIAKA YOTE WALIKUWA WAPI ?
Nakala ya uzi huu imfikie JOHN MWAMBIGIJA .
hahaha,ilikuwa..kwelii?/Hukumbuki alivyokuwa anawasonga makundi mbalimbali yaje kwake eti yakimshauri agombee URAIS. Kila siku ALIKUWA akipokea maandamano. Mara wanafunzi udom waendesha bodaboda nk
Msiotaka viti vya kisiasa mmefanyaje kuinua utamaduni wa wanyakyusa?Pungusya mdomo na ubufi mbomba imbombo jiboneke. Tuache uzabina zabina. Huko Kajujumele umefanya nini wewe?Wakuu natanguliza salamu ,
Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Mbeya , Wilaya ya Kyela , kijiji cha Kajunjumele ,utamaduni wa Kyela na Rungwe unashabihiiana kwa kiasi kikubwa sana , wakazi wengi wa Wilaya hii ni Wanyakyusa , japo kuna makabila mengine.
Tunazo ngoma za asili ambazo kwa uchache ni Mang'oma , Ipenenga , Samba nk , na tumecheza ngoma hizi kwa miaka mingi bila msaada wa hela ama chochote kutoka kwa yeyote , kama kuna aliyetoa chochote basi alitoa kama vile PDG Ndama Mutoto wa ng'ombe anavyowapa wanamuziki wa FM ACADEMIA .
Sasa cha kushangaza mwaka huu amezuka mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia Ackson , Huyu tetesi zinadokeza kwamba lengo lake si kufadhili ngoma za asili , maana alikuwepo miaka yote na alikuwa na uwezo kama huu wa leo , lakini hakufanya hivi , taarifa zinaonyesha kwamba amelenga kurubuni wakazi wa Rungwe ili achaguliwe mbunge uchaguzi ujao .
Mbinu hii ya kizamani haikubaliki , na naomba kuchukua nafasi hii kuwaasa wana Rungwe kumuogopa huyu mama kama ukoma .
Dr Tulia aliyeingia bungeni na kubebwa kwa mbeleko ya chuma hadi kwenye unaibu spika , amekuwa mstari wa mbele kudhalilisha na kunyanyasa wabunge wa upinzani , amezima mijadala mingi yenye tija ili kuokoa chama chake , huyu hawezi kuwa msaada wa Akina Mama wauza ndizi na maziwa wa ushirika au Kiwira , hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji cha Makandana , hafai .
Dr Ngunangwa aliwahi kuwauliza waliokuwa wanajipitisha kwenye jimbo lake huko Njombe na kutoa zawadi za baiskeli nk , kwamba WALIKWINA ? yaani kwa kiswahili , MIAKA YOTE WALIKUWA WAPI ?
Nakala ya uzi huu imfikie JOHN MWAMBIGIJA .
Karibu Kajunjumele mkuu , sasa hivi ni mavuno tuMsiotaka viti vya kisiasa mmefanyaje kuinua utamaduni wa wanyakyusa?Pungusya mdomo na ubufi mbomba imbombo jiboneke. Tuache uzabina zabina. Huko Kajujumele umefanya nini wewe?
PhDWanyakyusa (wote tu wa Kyela na Tukuyu/Rungwe) ni miongoni mwa makabila ya kwanza kwanza kuijua elimu; ukweli nitawadharau sana huyu mkimpitisha kwenye nafsi ya ubunge, ningependa huyu asipewe nafasi hata kwenye ngazi ya chama tu hapo hapo kwao kwanza ili ashike adabu. Mijadara ya maana yote anaitupa kule, anataka watu wawe wanajadiri nini!? Sorry, nae ana pHD
Leka ubukonyofu ugwe, seeMsiotaka viti vya kisiasa mmefanyaje kuinua utamaduni wa wanyakyusa?Pungusya mdomo na ubufi mbomba imbombo jiboneke. Tuache uzabina zabina. Huko Kajujumele umefanya nini wewe?
Endelea kutega sikio hapa hapa jf
maendeleo ya wanakyela yataletwa na nyie wanakyela wenyewe mkisaidiana na mbunge wenu, sio kila kitu afanye mbunge peke yake, HESHIMA kwa viongozi wenu na wakitaifa kwa ujumla ndio jambo la muhimu kabisa, kazi kwa bidii ndio msingi imara wa maendeleo , si mbowe wala luwassa atakaeleta maendeleo kwenu ni nyie wenyewe kwa bidii na uelewa ulio bora kabisa.Akina Dr Mwakyusa walifanya nini Rungwe ? CCM hii iliyoshindwa kwa miaka 60 usitegemee ifanye lolote , nenda Kyela ukaone jinsi msomi Mwakyembe anavyoiteketeza , Mango Tree imekwenda hivi hivi tunaona !
Kwa Rungwe mbali na kwamba siwakubali CCM. Ila Tulia atawafaa sana watu wa Rungwe. Mbunge ni mtu anayewakilisha watu kwenye kuisimamia Serikali kwenye nchi ambazo ni Republic au kwenye mfumo wetu wa kijinga mbunge ni mtu anayeweza kulobby na kueleweka/kusikilizwa. Tulia anafaa sana kuwa mwakilishi wa Rungwe kuliko Sauli na Mwambigija. Ila Mwambieni huku Mbeya mjini tutaweka unyakyusa pembeni tupo na Sugu.Nskubaliana ksbisa na msoni haya.
Wanyakyusa TUAMKE.
Panya anayejamata panya ndio wa kumtuza.
Huyo Mwambigija na hata Sauli ni magharasha.