Dr. Slaa ziarani Marekani

Dr. Slaa ziarani Marekani

Safari njema kwa President. Mungu na ampe afya njema kwenye uwajibikaji wake uliotukuka. Salamu zetu nyingi kwa First Lady wetu Josephine. Nendeni salama na mrudi salama kwaajili ya kuanza kuwatumia Watanzania ipasavyo hiyo October 2015.
 
#alfred Daud Pigangoma
Mtu mwingine yeyote anaweza kuwa rais wangu, isipokuwa Dr. slaa!

Upadri ulimshinda....urais Ndo ataweza.....he will never be a president...
 
Kila lakheri Dr, nenda salama na Mungu akurejeahe salama.

Tumemiss sana zile hotuba makini toka kwa mtu makini. Imekuwa heri kwetu hata zile hotuba mbovu za kila mwisho wa mwezi zinazotolewa na Mmiliki wa Viwanda vya porojo hatujazipata otherwise ingekuwa Stress tupu hapa ndani..!!

Nenda Kamanda Mungu akutangulie na akufanikishie safari yako kulingana na mipango yako.

BACK TANGANYIKA

Kweli aisee rais mtarajiwa akiongea huwa nakuwa makini kumsiliza hatua kwa hatua nukta kama ilvyo kwa Mwl J.K.Nyerere apumzike kwa amani ila brazaaaa akiongea wallah huwa siwezagi kumsikiliza.
 
Dr mungu akulinde na mabaya ya wendawazimu anaesema babu angalia mzee wa u alivyopinda mgongo bado anatafutiwa fimbo ya kutembelea sijuibabu ni Dr Au aliepinda mgongo tusubiri
 
Wamarekani wanaajua wanachokifanya.Kila la heri Dr
 
Nenda utumie rudhuku za Chama maana cha kuzifanyia nchini hakipo.
 
Wana ccm wataongea mengi ila la kuzingatia ni kwamba, chadema inakubalika internationally. Sijawahi sikia ccm wamealikwa marekani zaidi ya vikada vyao kujipeleka. Hahahaha. Wazungu wanaona ule mzigo chadema wanauchapa pale bungeni.
 
Chadema siyo Ccm ziara zote Kinana, sisi tuko site tunapiga mzigo. Tunampa nafasi Dr kufikiria jinsi ya kuongoza nchi ilyoharibiwa na magamba kila sekta!

Kuongoza tz au ndoto
 
Dr. slaa jana alianza ziara ya siku 9 chini marekani ambako amealikwa na Gavana wa jimbo la Indiana.

Akiwa huko Dr. slaa atakutana pia na maprofesa mbali mbali na kutoa mihadhara mbalimbali kuhusu maswala ya uwekezaji, uchumi nk. pia Dr. slaa atakutana na viongozi mbali mbali waserikali ya marekani.

Hongera sana Dr. Slaa...

Teh teh teh!
Ukiiona ofisi ya CHADEMA Ya Ohio utafkiri vile vioski vya wachaga vya kuuzia Vocha huko Bongo!
Halafu jamaa wote wanaoshinda hapo Hawana Kibarua chochote.
Ni kupuliza ganja Na Kupiga mizinga washkaji tu mchana kutwa.

Hivi CDM maskini Namna hii? Na Yale mapesa waliopewa na yule Mdosi huko Bongo yamepelekwa wapi?

Au Zimeenda kuboresha Mashamba ya Vitimoto huko Rombo?

Cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Safari njema kwa President. Mungu na ampe afya njema kwenye uwajibikaji wake uliotukuka. Salamu zetu nyingi kwa First Lady wetu Josephine. Nendeni salama na mrudi salama kwaajili ya kuanza kuwatumia Watanzania ipasavyo hiyo October 2015.

Teh teh teh!
Mbege za mchana Mbaya sana.

President wa Netball au wa Kishumundu?
 
Back
Top Bottom