Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Haha haaa acha uongo ww,mbna nimemuona leo Ufipa,mnajificha afu mnasingizia safar sio,ajitokeze atueleze kw nn chama kina pukutika kila kukicha?
Una tabia, matendo, jinsi na akiri za konokono.