Dr. Slaa ziarani Marekani

Dr. Slaa ziarani Marekani

Babu kuwa makini na macho maana wewe kizuri hakipite mbele yako. Ukiwachukua wakw za watu watakufanza vibaya hao hawana mchezo kwa issue ya wake zao
 
Babu kuwa makini na macho maana wewe kizuri hakipite mbele yako. Ukiwachukua wakw za watu watakufanza vibaya hao hawana mchezo kwa issue ya wake zao
unaona unamsema Kikwete kinyume kinyume
 
Dr. Slaa jana alianza ziara ya siku 9 chini Marekani ambako amealikwa na Gavana wa jimbo la Indiana.

Akiwa huko Dr. Slaa atakutana pia na maprofesa mbali mbali na kutoa mihadhara mbalimbali kuhusu masuala ya uwekezaji, uchumi nk. pia Dr. slaa atakutana na viongozi mbali mbali wa serikali ya Marekani.

Hongera sana Dr. Slaa...

Wapi habari ofishall kutoka ofisi ya Govenor of Indiana kuhusu ziara ya huyu Doctor wa sheria za kanisa Katoliki?
 
Sijawahi kuona Muhaya Mwana CHADEMA.
We lzm utakuwa MKEREWE uliezamia.


Nenda kyerwa ukaone wahaya wanachadema,kuanzia M/ kiti wa vitongoji,mtaa,kijiji na Madiwani,
Lwakatare ni Mhindi? Au unaongea bila kufanya utafiti?
 
Piga kazi Dr Slaa.. Kuna watu wanapiga safari za marekani kila siku wakitumia zaidi ya bilioni 2 kila safari na hatuoni chochote cha maana zaidi ya kupiga picha na wasanii
 
Jana .SAA mbili asubuhi basis la kampuni yanganga.linalofanya safari kati ya iringa na kilombero lilipata ajali maeneo ya ruha mbuyuni.nakusababisha vifo vya watu kazaa akiwemembo dereva Wa fusso ambalo yaligongana USO kwa USO na basis hilo.na kuwaka moto magari yote na kuteketeza baadhi ya watu.
 
Dr. slaa nenda kale bata..tuu,..ila hawezi kuwa rais kwa kuwa hawezi kuwa:
 
Mamluki ya fisiem yamejaaa jamba jambaa kusikia dr yupo mbelembele sio kutibiwa busha
 
Rais wetu - go DR. goo....

Mwezi October si mbali - safari hii lazima watakaa.
 
Dr. slaa nenda kale bata..tuu,..ila hawezi kuwa rais kwa kuwa hawezi kuwa:

Hivi kweli,unajua kuwa hicho ulichoandika ndiyo mahitaji ya wazazi,dada,kaka,ndg na jirani zako?
Hakuna ubishi maji safi yameshindikana,hakuna ubishi umeme umekwama,hskuns ubishi Elimu yetu kizungumkuti,yote hii ni sera za ccm
 
Saccos kwa kuchoma pesa nawakubali.Ngoja October muone ruzuku yenu itakavyoporomoka.Lazima kila mtu atachagua mlango wa kutokea.Wamburu kivyao na Wachaga kivyao.
Bora kutumia ruzuku kuimarisha chama kuliko kutumia Kodi kuzurura zurura kwanza yupo kweli nchini mara ya mwisho alikuwa Saudia anakula tende na halua karudi kweli?
 
Back
Top Bottom