Hee kumbe Babu slaa ni LULU,lulu yupo wa movie au?
Wee nae umekuja jf kufanya nn
Hee kumbe Babu slaa ni LULU,lulu yupo wa movie au?
Kila la heri dr slaa
Ha ha haaaaaa imenibidi tu nichekeukiona povu zito namna hii basi ujue mgonjwa wa kifafa yuko mbioni kukata roho .
Na apone upesi kabla ya uchaguzi
Dr. Slaa jana alianza ziara ya siku 9 chini Marekani ambako amealikwa na Gavana wa jimbo la Indiana.
Akiwa huko Dr. Slaa atakutana pia na maprofesa mbali mbali na kutoa mihadhara mbalimbali kuhusu masuala ya uwekezaji, uchumi nk. pia Dr. slaa atakutana na viongozi mbali mbali wa serikali ya Marekani.
Hongera sana Dr. Slaa...
Nenda kyerwa ukaone wahaya wanachadema,kuanzia M/ kiti wa vitongoji,mtaa,kijiji na Madiwani,
Lwakatare ni Mhindi? Au unaongea bila kufanya utafiti?
Vipi wewe, unatafuta boyfriend?
Rais wetu - go DR. goo....
Mwezi October si mbali - safari hii lazima watakaa.
Na Lipumba kakubali kuiua CUF kwa kuwapa nafasi kugombea urais watu wa chagadema! sasa UKAWA ndio umekwisha rasmi na chagadema mmeshateua mgombea wenu! poleni wana CUF.
Keweli mkuu cuf inapotea mda sio mrefu, hawa chadema wana hila sana. Cuf wasiposishituka watapotea kabisa
Umezeeka kifikra, kisiasa na umekwisha kimtizamo tu!
Saccos kwa kuchoma pesa nawakubali.Ngoja October muone ruzuku yenu itakavyoporomoka.Lazima kila mtu atachagua mlango wa kutokea.Wamburu kivyao na Wachaga kivyao.