Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,111
sitasahau ile hotuba ya kufa mtu ulioimwaga kipindi kileeee , Tunamshukuru sana Mungu kwa kukuumba Dr Slaa ndani ya nchi hii , wewe ni lulu .
Dr. slaa jana alianza ziara ya siku 9 chini marekani ambako amealikwa na Gavana wa jimbo la Indiana.
Akiwa huko Dr. slaa atakutana pia na maprofesa mbali mbali na kutoa mihadhara mbalimbali kuhusu maswala ya uwekezaji, uchumi nk. pia Dr. slaa atakutana na viongozi mbali mbali waserikali ya marekani.
Hongera sana Dr. Slaa...
Dr Slaa amekwenda na Girl friend wake?
Tunangoja picha kama zile za beji ya NASA, zawadi ambayo hajapewa yoyote duniani kasoro Rais wa USA na Slaa peke yake.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
sitasahau ile hotuba ya kufa mtu ulioimwaga kipindi kileeee , Tunamshukuru sana Mungu kwa kukuumba Dr Slaa ndani ya nchi hii , wewe ni lulu .
Hii ndio akili iliyosalia,Kwenye Mwenge na kipindi cha kampeni,kampeni zikiisha habari yao wanayo.
Nikukumbushe tu kuwa safari ya Dr.slaa ndo ungejadili,mambo ya girlfriend hauatusaidii,kwani hata wewe hatijauliza huna au unaye
Hata Obama anajua huyu ndiye raisi mtarajiwa
Umenena ndugu.Acha Obama.Watanzania 70% tunamuitaj...Kwa hal iyo Obama lzm agonge muhur
Tunangoja picha kama zile za beji ya NASA, zawadi ambayo hajapewa yoyote duniani kasoro Rais wa USA na Slaa peke yake.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
ameenda kuwapigia magoti wazungu wamsaidie uchaguzi mkuu, kibaraka wa wazungu
Slaa muongo-muongo...Nani ampe kura ya urais.....najua yuko studio Indiana, movie inakuja....kaeni mkao wa kula....